Huna akili tuNaam, sina sifa ya kuolewa na wala siihitaji na sijawahi kuwa nayo na hautoikuta. Hiyo ni sifa ya kwenu huko msiojijuwa.
Usikute wewe umeolewa na sasa unatumia jina la mumeo, kwetu hakuna hiyo.
Kwetu tunaoana tu.
Ungejua ninavyo kudharau!Usingepoteza muda wako kwa kumwaga povu kwenye uzi unaomuhusu.
Huna akili tu
Kidemu changu hicho. Napenda sana ma-bimkubwa mimiUngejua ninavyo kudharau!
Hadi zina mwagikaWewe unazo, zinakutosha?
Hadi zina mwagikaWewe unazo, zinakutosha?
Soon kitakufundisha kuruka na ungo usikuKidemu changu hicho. Napenda sana ma-bimkubwa mimi
Bujibuji aka @Gilesi katika ubora wake!FaizaFoxy the determined lady, ukisoma tu andiko lake unarudi nyuma.
Huyu ni miongoni mwa wanawake wachache ninao tamani kuandika biography zao.
Ni mzaliwa wa wilayani Rufiji mkoani JF.
Graduated in Canada 1981 extelecom engineering.
Ni mwanamke pekee anayeweza kuwashinda kwa hoja Wanaume 1000 na mwisho wa siku wakasarenda.
FaizaFoxy sio wa kispotispoti ujue.
Ana facts, ana references, habishi from nowhere.
Msomeni kwa kina mumwelewe FaizaFoxy
NB:-
Ukiona hajakuelewa sasa, mueleweshe tatatibu baadae.
Natarajia huu Uzi Utaniletea masimango ya kutosha, Niko tayari kuyapokea
Acha kupiga mayowe.....lete hoja ni wapi "nina" imetumika kama tusi????
Taalifa[emoji724]mm pia ningependa nimuone huyu kama kweli ni mwanamke
huyu kama kweli mwanamke basi aliyepost hii hoja hajamtendea haki
huyu yupo zaid ya hz sifa alizoandika hapa
mm nashaur apatikane mtu mwenye upeo zaid ili amuelezee vizur kwa kweli hujamtendea haki
Kwa kweli huyu namkubali zaid hivi ulivyo elezea hapa
kitu naomba anisaide nawezaje kupata taalifa kila unapoweka mada au kuchangia
Mana nisngependa kinipite chochote unachochangia humu
tafazar nisaidie hilo hz kejel za baaz ya watu zisikuvunje moyo kabisa
kuna wengi tunakukubar sana mm binasf nashindwa kukuelezea bila shaka nitakua sikutendei haki
Soon kitakufundisha kuruka na ungo usiku
Acha kujikomba kwa Wanawake...Anajua nn uyo FaizaFoxy??? mbona mm simjui..?? ana hoja gani..?? una uhakika gani ana uwezo wa kuwazidi hoja wanaume..?? wanawake wana maneno mengi tyu na Majivuno....chukulia References kwa Trump na hillary ujionee....Halafu acha kupigia magot wanawakee....Wanaume TutakudharauuFaizaFoxy the determined lady, ukisoma tu andiko lake unarudi nyuma.
Huyu ni miongoni mwa wanawake wachache ninao tamani kuandika biography zao.
Ni mzaliwa wa wilayani Rufiji mkoani JF.
Graduated in Canada 1981 extelecom engineering.
Ni mwanamke pekee anayeweza kuwashinda kwa hoja Wanaume 1000 na mwisho wa siku wakasarenda.
FaizaFoxy sio wa kispotispoti ujue.
Ana facts, ana references, habishi from nowhere.
Msomeni kwa kina mumwelewe FaizaFoxy
NB:-
Ukiona hajakuelewa sasa, mueleweshe tatatibu baadae.
Natarajia huu Uzi Utaniletea masimango ya kutosha, Niko tayari kuyapokea
Respect mtaani. Anayenichokoza, anarogwa. Nimekuwa jeuri sana siku hiziSoon kitakufundisha kuruka na ungo usiku
Ndiyo kazi unayo iwezaUngo teknolojia ya kizamani siku hizi tunaruka hivi hivi tu. Jionee:
Huyo ni mwanamke mwenzie ndio maana ana msifiaAcha kujikomba kwa Wanawake...Anajua nn uyo FaizaFoxy??? mbona mm simjui..?? ana hoja gani..?? una uhakika gani ana uwezo wa kuwazidi hoja wanaume..?? wanawake wana maneno mengi tyu na Majivuno....chukulia References kwa Trump na hillary ujionee....Halafu acha kupigia magot wanawakee....Wanaume Tutakudharauu
Daaaa aiseee hongera sanaRespect mtaani. Anayenichokoza, anarogwa. Nimekuwa jeuri sana siku hizi
ooooh sure huenda mleta mada ni mwanamke kwelHuyo ni mwanamke mwenzie ndio maana ana msifia