Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Acha urenge,jinga wewe.Wacheni sifa za kinafiki
Kwa kuwa wewe mnafiki unadhani kila mtu ni mnafiki hayawani punda mkaa juani wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha urenge,jinga wewe.Wacheni sifa za kinafiki
Yaaah kiranga was the best member hereNi kweli huyu mama ni jembe lakini sio kuzidi wote..kuna mtu anaitwa kiranga huyu ni hatari sana.. au akina maxshimba..Jew..au kyoma au kichuguu..mkuu wa chuo n.k..kuna majembe yametulia
Mkuu matusi ya nn kwani kamsema mama au bb yakoAcha urenge,jinga wewe.
Kwa kuwa wewe mnafiki unadhani kila mtu ni mnafiki hayawani punda mkaa juani wewe.
Kwanini ahisi kuwa ni unafiki?Mkuu matusi ya nn kwani kamsema mama au bb yako
Truee mkuu ff ujuaji mwingiYaaah kiranga was the best member here
Hii ndio list yangu walionifanya nisikae mbali na JF na kila muda nisome wameandika nini.
1.Kiranga changeda sangala kadumbwa
2.Brother Nyani Ngabu.
3.Mwita25
4.Mentor
5.The Boss
6.Mzee Mwanakijiji
7.AshaDii
8 .Ntuzu
.9.MwlRCT
10.Chief Mkwawa
Japo baadae kuna member nikawa navutiwa nao sana akina Lara 1 ,The bold na Excel(kapotelea wapi)
Kwa kifupi Jamiiforums ya 2012 kurudi Nyuma ilikuwa Tamu sana
Halafu kuna huyu Faizafoxy naweza kusema ni great thinker tatizo 'udini', Ujuaji mwingi, kibri ,na unazi wake kwa magamba bila kufikiri unamfanya aonekane Wa kawaida .
Mbona mapovu mengi?Mnafiki ni wewe pumbavu,niliku-quote?
Punda ni babakoAcha urenge,jinga wewe.
Kwa kuwa wewe mnafiki unadhani kila mtu ni mnafiki hayawani punda mkaa juani wewe.
Asante sana mkuuMkuu matusi ya nn kwani kamsema mama au bb yako
Atakua niyy anatumia id tofautiPunda ni babako
Na baba yako na kizazi chako chote.Punda ni babako
JiliwazeAtakua niyy anatumia id tofauti
Huu mcheeezoooo,auhitajiKwanini ahisi kuwa ni unafiki?
Post yangu ilimhusu vipi mpaka ai-quote?
Asante sana mkuu
Uwezekano huo ni mkubwa maana naona povu linamtokaAtakua niyy anatumia id tofauti
Naona limekuchomaNa baba yako na kizazi chako chote.
Hutaki au?Kwa kuunga mkono upumbavu wako? Hasara kwa aliyekuzaa.