[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu naona umeamua kupenda Bakwata.
Faiza ni Taasisi ya Kiislam Mkuu.Mkuu hebu muelezee Faiza anafananaje huyu mtu maana kila nikijaribu kumuimagine nashindwa kabisa.
Kwani ndio amekabidhiwa fungu LA ujenzi?Yaani watu wanatumia frusa baada ya kusikia msikiti mpya unajengwa unataka kujisogeza kwa Faizafoxy
Hili wimbi la vijana kupenda kutoka na bibi zao limeongezeka sana..Asalaam Alaiykum,
Kipenzi, mtoto mzuri, sweetheart, Mrembo, Mvumilivu, Bibie FaizaFoxy toka siku ya kwanza tufahamiane mpaka tulipoachana alasiri ilee, nashindwa kukusahau wewe pamoja na vitendo vyako.
Zaidi ucheshi na utundu wako. Kwanini nashindwa kukusahau lakini?
Hii ni mara ya 3 nakuota tu wacha kukuwaza kwani imeshakuwa kero mpaka nimezoea.
Mbona sipati mwingine nimuwazae kama wewe mrembo?
Eti mshana jr, hii hali huwa inatokana na nini?
Damn!!! Why this cute lady?
Hahahahaha.....Yaani watu wanatumia frusa baada ya kusikia msikiti mpya unajengwa unataka kujisogeza kwa Faizafoxy
Ana macho mazuri yenye mvuto, figure usiseme na kuvaa kiheshima hijab lake na kufunika kichwa muda wote.Mkuu hebu muelezee Faiza anafananaje huyu mtu maana kila nikijaribu kumuimagine nashindwa kabisa.