Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Asalaam Alaiykum,
Kipenzi, mtoto mzuri, sweetheart, Mrembo, Mvumilivu, Bibie FaizaFoxy toka siku ya kwanza tufahamiane mpaka tulipoachana alasiri ilee, nashindwa kukusahau wewe pamoja na vitendo vyako.
Zaidi ucheshi na utundu wako. Kwanini nashindwa kukusahau lakini?
Hii ni mara ya 3 nakuota tu wacha kukuwaza kwani imeshakuwa kero mpaka nimezoea.
Mbona sipati mwingine nimuwazae kama wewe mrembo?
Eti mshana jr, hii hali huwa inatokana na nini?
Damn!!! Why this cute lady?
Kipenzi, mtoto mzuri, sweetheart, Mrembo, Mvumilivu, Bibie FaizaFoxy toka siku ya kwanza tufahamiane mpaka tulipoachana alasiri ilee, nashindwa kukusahau wewe pamoja na vitendo vyako.
Zaidi ucheshi na utundu wako. Kwanini nashindwa kukusahau lakini?
Hii ni mara ya 3 nakuota tu wacha kukuwaza kwani imeshakuwa kero mpaka nimezoea.
Mbona sipati mwingine nimuwazae kama wewe mrembo?
Eti mshana jr, hii hali huwa inatokana na nini?
Damn!!! Why this cute lady?