FaizaFoxy Vs Nyani Ngabu...nani mshindi

FaizaFoxy Vs Nyani Ngabu...nani mshindi

Jamani mie sikubali kuchaguliwa upande wa kushabikia
mie huchagua wa kushabikia kutokana na uhendisamu au ubutifu wa wachezaji

naweza wageuka timu yangu

Nimekusoma, ni kweli baadhi ya wala vumbi wanatamani sana kuja huku kujiunga nasi kwenye kubeba boksi hivyo wangependa pia kuwa upande wetu kwenye hii mada, pia kuna wale wenye mapenzi binafsi kwa wabeba box, naamanisha kuna watu wanamzimia tu NN na wengineo, kama ni hivyo basi, wala vumbi mnaodhani kubeba box ni heri kuliko kula vumbi mko huru kutuunga mkono na vivyo hivyo wabeba box mnaodhani vumbi ni heri.....mko huru kuwa-'sapoti'.
 
Overconfident, you cant beat neither of us..

Am i right?

I ain't even gonna waste my time on you coz soon you gonna start foaming at the mouth while speaking in tongues like a possessed wayward silverback gorilla.
 
Cop-out

1 : an excuse for not doing something
2: to not do something that you are expected to do

1. A failure to fulfill a commitment or responsibility or to face a difficulty squarely

Was I expected to debate with no purpose? That is not me.
 
Kura yangu kwa NN
Anavigezo,af FF kapwaya sana hana uwezo na huyu mshiriki.

Huyo mletee mafanikio ya ccm kama mafuriko ya leo dar hapo atashinda atakwambia wamethubutu na wameweza. Hujiulizi kwa nn mafuriko pale magogoni lkulu hayatokei.
 
jmushi kakumbana na ndoo ya uso
mangi karudi dukani kwake kwenda kuchaji hasira

he heiya, am loving this

I ain't even gonna waste my time on you coz soon you gonna start foaming at the mouth while speaking in tongues like a possessed wayward silverback gorilla.
 
You would rather say ''You can't beat either of us or You can beat neither of us''...................with such reckless grammatical paralysis you still want to debate NN?

Now you see the kind of competition I have!

I might as well get the hell out of here and go eat some good food at Red Lobster.
 
Tuanzishe na ya biblia kule kwa xpaster mvuto unapotea pale mwingine anaelemewa na kuingia mitini dada wa wanchekesha leo kapatikana.
Mungu hapendi mashindano ya biblia...tuyaboreshe hayahaya...nenda kamtafute wanchekesha umlete
 
Back
Top Bottom