Faizafoxy yupo wapi?

Faizafoxy yupo wapi?

Faizafoxy yupo jana kanirekebisha kidogo humu jf
Ni muda sana katika karbu majukwaa yote sijaona,comment yake.lada kule kwenye uzi wake tu alouanzisha wa maswali ndo naona yupo uko.akuje kwa huku pia
 
= mpelelezi
Halafu kila siku nakufundisha matumizi ya hii alama (=) alama hii inamaanisha kilichokuwa upande mmoja ni sawa na kilicho upande mwingine

Hivyo basi hapo utakuwa hujarekebisha kitu ,unajikuta mjuaji kumbe mweupe tu kichwani
 
Atakuwa aling'oka pamoja na akina Ramadhan Madabida..........hana hamu na CCM tena!

images
 
Halafu kila siku nakufundisha matumizi ya hii alama (=) alama hii inamaanisha kilichokuwa upande mmoja ni sawa na kilicho upande mwingine

Hivyo basi hapo utakuwa hujarekebisha kitu ,unajikuta mjuaji kumbe mweupe tu kichwani
Hahahah...
 
jamani muda sana bibi,sijui au mama...yetu mpendwa wa kuturekebisha tunapokosea kiswahili na kutuletea vifungu vya qur'an,pamoja na kutufundisha civics hajaonekana.kapotelea wapi jamani...ndugu wa karibu au yeye mwenyewe ajitokeze aseme nini kimemkumba,sio siri uwepo wake JF ni muhimu sana aseeee.miss you sana FaizaFoxy
Yupo anasoma yanayoendelea ya Daudi A. Bashite
 
Back
Top Bottom