Faizafoxy yupo wapi?

Faizafoxy yupo jana kanirekebisha kidogo humu jf
Ni muda sana katika karbu majukwaa yote sijaona,comment yake.lada kule kwenye uzi wake tu alouanzisha wa maswali ndo naona yupo uko.akuje kwa huku pia
 
Kumbe huwa mnam-miss FaizaFoxy?
Wallah,mama mimi huwa nakumiss sana ase nashukuru umejibu uzi wangu na umenipa likes za kutosha.mana nimekutafuta sana.ulinifundisha somo la uraia na kuandhka vizuri,humu sitakaa kusahau.so uwepo wako muhimu!
 
= mpelelezi
Halafu kila siku nakufundisha matumizi ya hii alama (=) alama hii inamaanisha kilichokuwa upande mmoja ni sawa na kilicho upande mwingine

Hivyo basi hapo utakuwa hujarekebisha kitu ,unajikuta mjuaji kumbe mweupe tu kichwani
 
Atakuwa aling'oka pamoja na akina Ramadhan Madabida..........hana hamu na CCM tena!

 
Halafu kila siku nakufundisha matumizi ya hii alama (=) alama hii inamaanisha kilichokuwa upande mmoja ni sawa na kilicho upande mwingine

Hivyo basi hapo utakuwa hujarekebisha kitu ,unajikuta mjuaji kumbe mweupe tu kichwani
Hahahah...
 
Yupo anasoma yanayoendelea ya Daudi A. Bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…