Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mpenziNi Peugeot mke. Pijo foroofoo...
Wewe Si ndio ulidondosha CMU kwenye ndege Abu Dhabi ulipokuwa unabadili ndege ukiyokea Canada! Na Mimi ndie nliekusaidia ukaipokea DSM!Kasoro mm tu
Utakua umefake pia mana umeikazania sana hiyo kwa mtogole wenyewe hatujisemiNi mimi tu ndiyo wa Kwamtogole humu wote watoto wa kisure
Huenda anatamani awe zaidi yao atapata tabu sanaHuo 'ufake' wao unakuathiri vipi? Ishi uwezavyo sio watakavyo!
Nakuham swahiba, vipi bado upo kule kule?[emoji12]Huenda anatamani awe zaidi yao atapata tabu sana
Ngoja niende zangu juani
Karibu sana utanikuta bado.Nakuham swahiba, vipi bado upo kule kule?[emoji12]
Ntakuja soon!Karibu sana utanikuta bado.
Nimekuham pia
Sawa na karibu sanaNtakuja soon!
JF kila dem mzuriJF kila mtu msomi
JF kila akili nyingi
JF kila mtu usalama
JF kila mtu ana Nyumba
"" """" """" """ Gari
""""" """"" "" alichelew ndege
Ongeza na vingine.....
JF kila mtu msomi
JF kila akili nyingi
JF kila mtu usalama
JF kila mtu ana Nyumba
"" """" """" """ Gari
""""" """"" "" alichelew ndege
Ongeza na vingine.....
Umeelewa point au una kilema cha ubongo?Umaskini ukiingia kichwani ndo haya yanatokea.
Kwa hiyo wewe unaona tabu watu kuwa wasomi? Kuwa na gari? Etc