Fake News zinatrend kwasababu zinakamata attention ya mtu

Fake News zinatrend kwasababu zinakamata attention ya mtu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Elias Patrick, mgunduzi wa Kitonga AI amesema mara nyingi taarifa zisizo sahihi hutrend kuliko taarifa sahihi kwa kuwa fake news zinashika attention ya mtu.

Amesema hayo katika CSO week ambapo alikuwa session ya kuelezea jinsi AI inafanya kazi. Katika kipindi hiko amesema suala la AI linafanyakazi sawa na jinsi akili ya mwanadamu inafanya kazi.
20231026_081440.jpg
 
Back
Top Bottom