Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
FALSAFA #1
: Anaandika
mwanafalsafa mmoja ya kwamba,
Katika hii dunia hakuna kitu kikubwa,kushinda mtu
Na ndani ya mwanaume hakuna kitu kikubwa
kinachoshinda FIKRA na UFAHAMU
NENO
Hapo mwanzo kulikua na Neno,naye Neno alikua kwa Mungu,
Na huyo neno alikua Mungu.
Pasipo yeye hakuna kilichofanyika,
Na kwa yeye vitu vyote vilipata kuwepo..
Nayeye Alipouvaa mwili tukapata kuuona utukufu wa Mungu.
HUYU NENO ni lugha ama kwa Tafsiri nyingine ni (WAZO)
Sasa twende pamoja.
Hapo mwanzo kulikua na WAZO,na hilo wazo lilikua ndani kwa Mungu,na hilo wazo ndio mungu mwenyewe,
Pasipo hilo wazo hakuna kilichofanyika,
Na kwa hilo wazo vitu vyote vilipata kufanyika.
Na hilo Wazo linapofanyika mwili watu wote huufurahia utukufu wa muumbaji....
:Nyumba unayoishi lilikua ni wazo lako kabla hujalivika mwili na watu wakaiona jinsi ilivyojengwa kwa ustadi na kukusifu.
:Gari ni wazo lililokua linatembea ndani ya fahamu za mtu...kisha akalivika mwili nasisi tukaliona gari nakuanza kuendesha na kufurahia utukufu wa muumbaji.
: Kila mtu ana Neno au wazo ambalo angetamani kulivika mwili,Ila nguvu inaweza kosekana ya kulitimiza wazo lake.
:Wazo lako ndio wewe,na wewe ndio wazo kamili la aliefanikisha ukavaa mwili.
Vitu vyote pasipo wazo hakuna kinachofanyika....
Heshimu sana ufahamu wako...
heshimu sana fikra zako
Hizo ndizo zinaumba...
Usiruhusu Ngono i destroy kiwanda cha uzalishaji ndani yako(Fikra)
Content created by : magical power
: Anaandika
mwanafalsafa mmoja ya kwamba,
Katika hii dunia hakuna kitu kikubwa,kushinda mtu
Na ndani ya mwanaume hakuna kitu kikubwa
kinachoshinda FIKRA na UFAHAMU
NENO
Hapo mwanzo kulikua na Neno,naye Neno alikua kwa Mungu,
Na huyo neno alikua Mungu.
Pasipo yeye hakuna kilichofanyika,
Na kwa yeye vitu vyote vilipata kuwepo..
Nayeye Alipouvaa mwili tukapata kuuona utukufu wa Mungu.
HUYU NENO ni lugha ama kwa Tafsiri nyingine ni (WAZO)
Sasa twende pamoja.
Hapo mwanzo kulikua na WAZO,na hilo wazo lilikua ndani kwa Mungu,na hilo wazo ndio mungu mwenyewe,
Pasipo hilo wazo hakuna kilichofanyika,
Na kwa hilo wazo vitu vyote vilipata kufanyika.
Na hilo Wazo linapofanyika mwili watu wote huufurahia utukufu wa muumbaji....
:Nyumba unayoishi lilikua ni wazo lako kabla hujalivika mwili na watu wakaiona jinsi ilivyojengwa kwa ustadi na kukusifu.
:Gari ni wazo lililokua linatembea ndani ya fahamu za mtu...kisha akalivika mwili nasisi tukaliona gari nakuanza kuendesha na kufurahia utukufu wa muumbaji.
: Kila mtu ana Neno au wazo ambalo angetamani kulivika mwili,Ila nguvu inaweza kosekana ya kulitimiza wazo lake.
:Wazo lako ndio wewe,na wewe ndio wazo kamili la aliefanikisha ukavaa mwili.
Vitu vyote pasipo wazo hakuna kinachofanyika....
Heshimu sana ufahamu wako...
heshimu sana fikra zako
Hizo ndizo zinaumba...
Usiruhusu Ngono i destroy kiwanda cha uzalishaji ndani yako(Fikra)
Content created by : magical power