MATUNDA YA 4R ZA RAIS SAMIA, WAKULIMA NA WAFUGAJI MAMBO SHWARI
Falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa nguzo muhimu katika kujenga Tanzania yenye misingi imara ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. 4R zinawakilisha Maridhiano (Reconciliation), Uthabiti (Resilience), Mageuzi (Reform), na Ujenzi Upya (Rebuild) – dhana ambazo zimepata nguvu chini ya uongozi wake.
Maridhiano ni kipengele cha msingi katika falsafa hii. Kupitia jitihada zake za kukuza umoja wa kitaifa, Rais Samia ameweza kuongoza mchakato wa upatanisho kati ya makundi mbalimbali yenye mgongano wa maslahi, kama vile wafugaji na wakulima. Migogoro ya ardhi na matumizi ya rasilimali ambayo ilidumu kwa miaka mingi imeanza kupungua kwa kasi, kwa sababu jamii hizi sasa zimehamasika kuishi kwa amani na kushirikiana.
Falsafa ya 4R ya Rais Samia imezaa matunda kwakuleta utulivu wa kijamii na maendeleo ambayo yamekuwa kielelezo cha mabadiliko ya kweli katika taifa.
MATUNDA YA 4R ZA RAIS SAMIA, WAKULIMA NA WAFUGAJI MAMBO SHWARI
Falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa nguzo muhimu katika kujenga Tanzania yenye misingi imara ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. 4R zinawakilisha Maridhiano (Reconciliation), Uthabiti (Resilience), Mageuzi (Reform), na Ujenzi Upya (Rebuild) – dhana ambazo zimepata nguvu chini ya uongozi wake.
Maridhiano ni kipengele cha msingi katika falsafa hii. Kupitia jitihada zake za kukuza umoja wa kitaifa, Rais Samia ameweza kuongoza mchakato wa upatanisho kati ya makundi mbalimbali yenye mgongano wa maslahi, kama vile wafugaji na wakulima. Migogoro ya ardhi na matumizi ya rasilimali ambayo ilidumu kwa miaka mingi imeanza kupungua kwa kasi, kwa sababu jamii hizi sasa zimehamasika kuishi kwa amani na kushirikiana.
Falsafa ya 4R ya Rais Samia imezaa matunda kwakuleta utulivu wa kijamii na maendeleo ambayo yamekuwa kielelezo cha mabadiliko ya kweli katika taifa.
Hivi mnalipwa shilingi ngapi!?,una watoto wanaokutegemea au familia?!?, 4R zinakusaidiaje na familia yako!?,Kuna wakati mnakuwa machawa hadi mnageuka WAPUMBAVU. Bora kukaa kimya kuficha ujinga wako. Asubuhi asubuhi mtu mwenye akili timamu unaweza kuamka unasifia 4R!??.., nyie ndo mnasababisha tubaguliwe na wazungu tuonekane wote hatuna akili.
Hivi mnalipwa shilingi ngapi!?,una watoto wanaokutegemea au familia?!?, 4R zinakusaidiaje na familia yako!?,Kuna wakati mnakuwa machawa hadi mnageuka WAPUMBAVU. Bora kukaa kimya kuficha ujinga wako. Asubuhi asubuhi mtu mwenye akili timamu unaweza kuamka unasifia 4R!??.., nyie ndo mnasababisha tubaguliwe na wazungu tuonekane wote hatuna akili.
MATUNDA YA 4R ZA RAIS SAMIA, WAKULIMA NA WAFUGAJI MAMBO SHWARI
Falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa nguzo muhimu katika kujenga Tanzania yenye misingi imara ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. 4R zinawakilisha Maridhiano (Reconciliation), Uthabiti (Resilience), Mageuzi (Reform), na Ujenzi Upya (Rebuild) – dhana ambazo zimepata nguvu chini ya uongozi wake.
Maridhiano ni kipengele cha msingi katika falsafa hii. Kupitia jitihada zake za kukuza umoja wa kitaifa, Rais Samia ameweza kuongoza mchakato wa upatanisho kati ya makundi mbalimbali yenye mgongano wa maslahi, kama vile wafugaji na wakulima. Migogoro ya ardhi na matumizi ya rasilimali ambayo ilidumu kwa miaka mingi imeanza kupungua kwa kasi, kwa sababu jamii hizi sasa zimehamasika kuishi kwa amani na kushirikiana.
Falsafa ya 4R ya Rais Samia imezaa matunda kwakuleta utulivu wa kijamii na maendeleo ambayo yamekuwa kielelezo cha mabadiliko ya kweli katika taifa. View attachment 3129479