Falsafa za Yesu ni ngumu sana kwenye siasa

Falsafa za Yesu ni ngumu sana kwenye siasa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wakuu

Nimejaribu kufikiria baadhi ya falsafa za Yesu wa Nazareth katika uwanja wa Siasa, Nimegundua ni ngumu mno, na hazitekelezeki kwa wengi wetu.

Embu fikiria falsafa hii

" Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi" Yesu wa Galilaya
" Akunyang'anyaye mshipi, muachie na joho" Yesu wa Bethlehemu
" Akupigaye shavu la kushoto, mgeuzie na lakulia" Yesu wa Nazareth
"Baba wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo" Yesu simba wa Yuda.

Yesu Falsafa zake ni ngumu sana kutekelezeka hasa katika uwanja wa vita, uwanja wa siasa.

😀 😀 😀 😀 😀 😀

Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa, Dodoma
 
Kuelewa maandiko ni hekima na maarifa hivi hivi huambulii kitu
 
Ukitafsiri bila imani nilazima ukuwiwe vingumu kutekeleza maana
Imani ndio huza matendo uyatendayo

Sent using Jamii Forums mobile app


Sawa Mkuu, Ila Biblia mbona inaeleweka sema watu wanaijaribu kufikiria zaidi ya kilichoandikwa.
Kilichoandikwa ndio hiko hiko kilichomaanishwa.

Ni sawa ufikr kwenye mtihani wa hesebu alafu ukute swali linasema 1+1=? Lazima upagawe, wakati jibu ni mbili.
Biblia ni kama vitabu vingine boss,
 
Uwanja wa vita wa Yesu ilikuwa pale Calvary. Haya aliyatekeleza yote kwa vitendo. Ukimuamini Mungu na kumtegemea asilimia zote haya yanawezekana. Wala hatakuwepo wa kupiga
kibao shavu la kushoto wala kulia.
 
Back
Top Bottom