FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

20241226_214349.jpg


Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

20241226_214524.jpg
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Nyakati nazo hubadilika
 
Mbona mtandao wa lissu haujulikani?. Kina boni yai, ntobi, yericko, sugu wameishajifaragua wako na mbowe, hao wa lissu ni kina nani?
Wa Lisu Wako wengi sana halafu ni watu wenye Akili timamu na Ndo maana Mwwnyekiti ameshaanza Kuogopa..
Maana Wajumbe wa Mikoani karibu wote wanamuunga Lissu wilaya karibu zote zinamuunga Lissu..

Lissu alipotoa ile Kauli kuwa Ruzuku sasa Itafika Mpaka kwemye Mashina Kila Kiongozi afaidike na Uongozi wake na sio tabaka la Juu tu..
Kajizolea Wajumbe wengi sana ambao wameona kweli Mwamba anawapiga sana
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Kwani huyu Madenge ndio ameoa bint wa Freeman Mbowe?

Namuona kule X anatamba alikuwa Kwa baba mkwe 😂
 
Back
Top Bottom