Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
mbowe ni janga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uzima tushuhudie. YajayoHakika
Tuwasikilize wadhamini wanasemajeEXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Hicho ni chombo chao kiteule cha kupoozesha mageuzi ya kweli.Ajabu hadi ccm wanamtaka Mbowe si ajabu hii
Twita umekua mtandao wa hovyo sana, vijana wengi wamemtukana jamaa kwa kwenda ukweni, hoja moja wapo ni "ukienda ukweni utalala wapi" kana kwamba tanzania nzima kila mtu ana ishirini kwa ishiriniKwani huyu Madenge ndio ameoa bint wa Freeman Mbowe?
Namuona kule X anatamba alikuwa Kwa baba mkwe 😂
Suala sio hata wanaccm wale wote walioshangilia kifo cha Mzalendo Magufuli mwisho wao kisiasa hautakuwa mzuriKwa taarifa yako hakuna watu walioahangilia kifo cha magufuli kama ccm
Huo utafiti uliufanya lini na wapi ?.Siku mtu akishindwa usije na sababu za kijinga.Wa Lisu Wako wengi sana halafu ni watu wenye Akili timamu na Ndo maana Mwwnyekiti ameshaanza Kuogopa..
Maana Wajumbe wa Mikoani karibu wote wanamuunga Lissu wilaya karibu zote zinamuunga Lissu..
Lissu alipotoa ile Kauli kuwa Ruzuku sasa Itafika Mpaka kwemye Mashina Kila Kiongozi afaidike na Uongozi wake na sio tabaka la Juu tu..
Kajizolea Wajumbe wengi sana ambao wameona kweli Mwamba anawapiga sana
Hafla ya siri halafu wewe umeijua ?.EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Cha ajabu ni nini? Si ametangaza kuwa anagombea? Mgombea si anatakiwa kufanya kampeni?EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
PITIa Hapa..Huo utafiti uliufanya lini na wapi ?.Siku mtu akishindwa usije na sababu za kijinga.
Soma kuanzia Mwanzo Nimepenyezewa Na watu walioenda HukoHafla ya siri halafu wewe umeijua ?.
🤣🤣🤣Kwani huyu Madenge ndio ameoa bint wa Freeman Mbowe?
Namuona kule X anatamba alikuwa Kwa baba mkwe 😂
Mmemkomalia makengezaEXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Mbowe ana hela nyingi, hadi chama kilikuwa kinakopa kwake, Lissu amekiri hilo juziWatamlia hela zake bure
Mbowe hawezi kutoboa
Kumbe magufuli alikuwa mzalendo😁😁😁Suala sio hata wanaccm wale wote walioshangilia kifo cha Mzalendo Magufuli mwisho wao kisiasa hautakuwa mzuri
Vipi wewe haupo kimaslahi?? Coz unaonekana kuna upande unausifia huku upande mwingine ukiunanga!watu wapo kimaslahi Binafsi!
Picha nyingine za tukio ni hizi hapa.EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833