FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Tuwasikilize wadhamini wanasemaje
 
Wa Lisu Wako wengi sana halafu ni watu wenye Akili timamu na Ndo maana Mwwnyekiti ameshaanza Kuogopa..
Maana Wajumbe wa Mikoani karibu wote wanamuunga Lissu wilaya karibu zote zinamuunga Lissu..

Lissu alipotoa ile Kauli kuwa Ruzuku sasa Itafika Mpaka kwemye Mashina Kila Kiongozi afaidike na Uongozi wake na sio tabaka la Juu tu..
Kajizolea Wajumbe wengi sana ambao wameona kweli Mwamba anawapiga sana
Huo utafiti uliufanya lini na wapi ?.Siku mtu akishindwa usije na sababu za kijinga.
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Hafla ya siri halafu wewe umeijua ?.
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Cha ajabu ni nini? Si ametangaza kuwa anagombea? Mgombea si anatakiwa kufanya kampeni?

Amandla...
 
Huo utafiti uliufanya lini na wapi ?.Siku mtu akishindwa usije na sababu za kijinga.
PITIa Hapa..
Humu kuna Mikoa Miwili NJOMBE na Shinyanga Japo Mikoa Iliyotsngaza Hadharani Kumuungs Lissu Si chinu ys Mikos 7 ns Wajumbe wake Ikiwemo Dar..

 
Kwani huyu Madenge ndio ameoa bint wa Freeman Mbowe?

Namuona kule X anatamba alikuwa Kwa baba mkwe 😂
🤣🤣🤣
Kule walikuwa wnafanya Changamsha genge tu na Kupoteza Maboya jamaa Ni team FAM na walikuwa wanaandaa Mabomu kwa FAM..
Kwahyi alipotea kwa Muda
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Mmemkomalia makengeza
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Picha nyingine za tukio ni hizi hapa.
 
Back
Top Bottom