FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

FAM aitisha Hafla ya Siri Nyumbani kwake Akialika Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Na Kuwaahidi Vinono

acha upotoshaji gentleman,
kila moja apambane na anachoona kinamfaa..

Lisu na chuki zake apambane na Mbowe na hekima zake nae ambambane,

Chadema inahitaji kiongozi mzalendo 🐒
Gentleman code inatuketa closer to know who you are.

Haya niambie, una maslahi gani ndani ya CHADEMA?
 
Hao efm wasijichangabye watuachie sisi wajumbe tufanye kazi yetu ya kumgoa nduli kwa aibuu.uwezo tunao na nia tunayo.
 
Mbowe anaendesha chama kienyeji sana hana mfumo sahihi wa fedha, kila kitu idara ya fedha ni yeye binafsi hata katibu mkuu hana mamlaka kwenye pesa, hakuna anayejua chadema wana Akiba shilling ngapi, hufuja pesa atakavyo na hicho kinamfanya kung’ang’ania madaraka apate kuficha maovu yake
Na CAG wanakagua vitabu vinavyotunzwa na Mbowe? Haujui kuwa CAG hakagui tu pesa zilizopo bali pia taratibu za manunuzi na utunzaji wa pesa. Wakimaliza wanafanya mazungumzo na Accounting Officer ( Mnyika) na Chief Accountant kuhusu walichokiona. Kusema kuwa hao wawili nao hawajui kinachoendelea ni uongo mtupu. Na taasisi kama CDM ikijiendesha kwa cash itajulikana tu maana hamna siri ya watu wawili.

Amandla...
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Kwa hiyo kwenye Krismasi asialike watu? Je, Tindu Lissu mwenyewe amezuiliwa kualika watu?
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Kwa sasa uchaguzi wa chadema utamulikwa vilivyo, mienendo yote itamulikwa. Tunataka uchaguzi ulio huru na WA wazi, wajumbe wasihongwe, wala kusafirishwa nje ya chama.Tunataka kuona tofauti ya ccm na chadema
 
EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…

Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…

Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…

Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!

FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo

Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!

View attachment 3185831

Lakini Hafla ilifana saaana…

Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!

Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…

itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..

View attachment 3185833
Kivumbi na jasho 😂😂😂
 
Huyo mpuuzi mwaka wa 3 anaishi kwenye denial haamini dikteta wa Chato hatorudi tena.

Akichoka ID hiyo anaswitch na ID zake zile 3 kuja kuongeza wingi wa reply za Magufuli akiamini atarudi tena.
Duh
 
Nimemuona Madenge hivi bado yupo EFM?
Yupo EFM kwenye masoko uko anatafuta matangazo, kutangaza alifeli kabisa hakuwa na kipaji wala mvuto.

Mimi niliwahi kusema jamaa hana kipaji cha radio

 
Back
Top Bottom