Familia hohehahe zinazidi kuongezeka Tanzania

Familia hohehahe zinazidi kuongezeka Tanzania

Maeneo yapo makubwa Tanzania watu watoke mjini wakaanzishe mashamba ya vijiji huko na ufugaji...kila mtu tatizo anataka kuishi mijini..haswa mji wa daslamu huku anaishi nyumba ya mbavu za mbwa....choo cha foleni maji ya kibaba...
 
Mkuu inapaswa ukumbuke umasikini sio jambo jipya ulikuwepo toka enzi za Baba wa Taifa ukifanya tathmini tulipotoka na tulipo ni wazi tumepiga hatua.
Kwa hiyo tupandishe mabega na kutembea kwa kujivuna?Na Singapore tuliokuwa nao sawa kiuchumi wakati wa miaka ya uhuru tuwaambie nini?
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Kwa Utafiti upi?
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Utafiti upi?
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Kilio Cha jamii ni Barabara Vijijini,umeme affordable,gharama nafuu za Afya na uhakika wa soko la mazao Yao lakini Serikali inatumika matrilioni ya Kodi zao kuwekeza kwenye miradi ambayo haiwasaidii kuondoa umaskini eg Sgr,ndege,majengo makubwa makubwa ya Utawala,stendi kubwa kubwa zisizo na maana,gharama kubwa za Utawala nk

Kwa mantiki hii unategemea idadi ya maskini itapungua hapa Tanzania? Na mbaya zaidi Kwa Kasi hii kubwa ya ongezeko la watu vs Kasi ya kujua uchumi tunaenda kurudi kwenye LDC status.
 
Back
Top Bottom