Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani sana, Punyeto unaisingizia tu.Kama mambo sio mazuri usijiingize katika haya mambo
Pombe
Uzinzi
Bangi
Sigara
Kuhonga.
Punyeto
Lakini tunaambiwa na wanasiasa uchumi unakua ..kumbe uchumi unawachumu wananchiUmaskini ni kweli unaongezeka kwa Kasi ila sio kw kiwango tajwa
Watakuja na pendekezo la tozo ya pumziBado kuna tume imeundwa Jana ya "kuangalia Kodi", very soon watakuja na mzigo wa Kodi balaa, tujiandae kisaikolojia
Na ya Mke, ukilala na mke wako unalipa tozoWatakuja na pendekezo la tozo ya pumzi
Upo kwa kiwango gani?Umaskini ni kweli unaongezeka kwa Kasi ila sio kw kiwango tajwa
Kwa hiyo tupandishe mabega na kutembea kwa kujivuna?Na Singapore tuliokuwa nao sawa kiuchumi wakati wa miaka ya uhuru tuwaambie nini?Mkuu inapaswa ukumbuke umasikini sio jambo jipya ulikuwepo toka enzi za Baba wa Taifa ukifanya tathmini tulipotoka na tulipo ni wazi tumepiga hatua.
Kwa Utafiti upi?Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.
Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).
Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.
Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.
Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Utafiti upi?Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.
Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).
Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.
Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.
Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Mazuri ya Tanzania yako wapi?Kwanini msieleze pia mazuri ya Tanzania?
Kilio Cha jamii ni Barabara Vijijini,umeme affordable,gharama nafuu za Afya na uhakika wa soko la mazao Yao lakini Serikali inatumika matrilioni ya Kodi zao kuwekeza kwenye miradi ambayo haiwasaidii kuondoa umaskini eg Sgr,ndege,majengo makubwa makubwa ya Utawala,stendi kubwa kubwa zisizo na maana,gharama kubwa za Utawala nkMama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.
Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).
Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.
Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.
Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.