Familia pana tegemezi (Extended Family) ni chanzo cha umaskini kwa watu wengi nchini

Familia pana tegemezi (Extended Family) ni chanzo cha umaskini kwa watu wengi nchini

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa wale waliosoma Civics watakumbuka aina mojawapo ya familia ya "extended family" ambayo kwa kiswahili kisicho rasmi ni aina ya familia pana inayokusanya watu wengi zaidi ya wazazi na watoto wao. Hii ni familia inayohusisha watu wengine wengi wasio watoto wa mwenye familia.

Vijana wengi wanaopata ajira au biashara ndogo wanaotoka kwenye extended families ambazo kwa Tanzania ndio aina kubwa ya familia na nyingi zake ni maskini huishia kuhudumia mahitaji ya wanafamilia hizo na kufanya maisha yao yote ya hapa duniani kuwa ya mkononi kwa mdomoni "hand to mouth" bila maendeleo yoyote ya maana.

Nchi nyingi zilizoendelea aina ya familia ni "nucleus family", mtu anahudumia watoto wake wa kuwazaa tu, hakuna habari za mtoto wa mjomba, mpwa, shangazi, mtoto wa baba mkubwa, mdogo n.k. Hata hao watoto wa kuwazaa wenyewe wanapofikisha miaka 21 huwa wanasukumwa kwenda kujitegemea na kutafuta maisha yao binafsi kwa kufanya kazi mbalimbali. Hali hii inapunguza sana utegemezi kwa watu binafsi na kuwafanya hata kipato kidogo wanachopata kuweza kukiwekeza kwenye vitegema uchumi mbalimbali hususani kupitia masoko ya hisa.

Nchini kwetu kijana mdogo tu aliyeingia kwenye ajira ngazi ya chini kabisa kwa mara ya kwanza au umachinga anahudumia familia ya hadi watu 15! Kuna kuendelea kweli katika hali hiyo au ni kuendeleza mduara wa umaskini usioisha?! Lazima tubadilke kama tunataka kuumaliza umaskini.
 
No,ni utamaduni wetu sisi Waafrika kuwa na familia hizi. Tumekuzwa hivyo na hata hao babu zetu wamekuzwa hivyo na hata sisi tutawarithisha vijana wetu utamaduni huu wetu adhimu.

Ni identity yetu popote duniani. John Obi Mikel kipindi anacheza Chelsea aliulizwa na wachezaji wenzie wa kizungu kwamba inakuwaje unatuma hela nyumbani kila wiki,jibu alilowapa ni extended family inayomtegemea nyumbani kwao Nigeria. Wakati wazungu hao wanamshangaa ikaibuka taarifa babake Wayne Rooney kukutwa ns kete za unga akienda kuuza ili apate kuishi wakati mwanae akikunja mamilioni kila wiki what a curse!

Ndugu yangu kama hapo ulipo unao unafuu na hauna hata mtoto wa mjomba au shangazi au baba mdogo unakosea sana. Hatukulelewa hivyo kiongozi sisi ni watu wa kushea hicho kilichopo na kuinuana.
 
As long as hatujaanza leo na tunaowasaidia ni wale waliochangia kufika tulipo au ni watoto wa shangazi ambaye anakaanga mandazi pale nanjilinji sioni tatizo
 
Nchi itakuja kuendelea kila mtu atakapofanya kazi na kuacha utegemezi..
Mtu sio mlemavu, wala sio mgonjwa na wala sio mzee, anataka apewe pesa za bure bure kwangu hii hapana aisee.
 
Ni kweli mkuu, lazima watu wabadilike na kila mtu mwenye afya na akili timamu afanye kazi halali bila kujali hadhi ya kazi yenyewe.
Nchi itakuja kuendelea kila mtu atakapofanya kazi na kuacha utegemezi..
Mtu sio mlemavu, wala sio mgonjwa na wala sio mzee, anataka apewe pesa za bure bure kwangu hii hapana aisee.
 
Kuna familia zina watu wazima wenye nguvu na afya ambao hawafanyi kazi bali wanaishi kwa kutegemea wenye kazi. Huu sio utamaduni mzuri tunaopaswa kuundeleza.
No,ni utamaduni wetu sisi Waafrika kuwa na familia hizi. Tumekuzwa hivyo na hata hao babu zetu wamekuzwa hivyo na hata sisi tutawarithisha vijana wetu utamaduni huu wetu adhimu.

Ni identity yetu popote duniani. John Obi Mikel kipindi anacheza Chelsea aliulizwa na wachezaji wenzie wa kizungu kwamba inakuwaje unatuma hela nyumbani kila wiki,jibu alilowapa ni extended family inayomtegemea nyumbani kwao Nigeria. Wakati wazungu hao wanamshangaa ikaibuka taarifa babake Wayne Rooney kukutwa ns kete za unga akienda kuuza ili apate kuishi wakati mwanae akikunja mamilioni kila wiki what a curse!

Ndugu yangu kama hapo ulipo unao unafuu na hauna hata mtoto wa mjomba au shangazi au baba mdogo unakosea sana. Hatukulelewa hivyo kiongozi sisi ni watu wa kushea hicho kilichopo na kuinuana.
 
Mnakosea nyie watu sasa tushike lipi??? Miafrica hamueleweki!! mara zote mnasema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni......., Watu wakiwa ni mojawapo sasa leo mnawasema tena watu jamani hivi nyie watu weusi mkoje?? MNatakaje km siyo risasi??....

Mpaka wengine mliuza utumwani huko weee!!! miaka mia saba mnauza watu tu!! na hao watumwa wakainua mataifa hayo mpaka leo ndo ma super power Duniani kote!! wakaona ngoja warudishe fadhira mikopo mna pewa buuure! misaada kedekede mle!

Sasa km babu zenu wange zaa katoto kamoja tu!! hayo mataifa yangeendeleaje? mnajifanya kuiga uzungu wenzenu wale vizalio vimetiwa pamba tofauti na sisi weusi!! sisi kuzaa ni starehe!! lkn wao ni adhabu wanasikiaga maumivu wakipigana miti!!!

Mleta mada sisi siyo wazungu unasikia........ongea km mwafrica...hata huo uzungu ukiutaka wafuate wao km hujarudi mkuku!!!!
 
Dunia imebadilika sana lazima tubadilike nayo.
No,ni utamaduni wetu sisi Waafrika kuwa na familia hizi. Tumekuzwa hivyo na hata hao babu zetu wamekuzwa hivyo na hata sisi tutawarithisha vijana wetu utamaduni huu wetu adhimu.

Ni identity yetu popote duniani. John Obi Mikel kipindi anacheza Chelsea aliulizwa na wachezaji wenzie wa kizungu kwamba inakuwaje unatuma hela nyumbani kila wiki,jibu alilowapa ni extended family inayomtegemea nyumbani kwao Nigeria. Wakati wazungu hao wanamshangaa ikaibuka taarifa babake Wayne Rooney kukutwa ns kete za unga akienda kuuza ili apate kuishi wakati mwanae akikunja mamilioni kila wiki what a curse!

Ndugu yangu kama hapo ulipo unao unafuu na hauna hata mtoto wa mjomba au shangazi au baba mdogo unakosea sana. Hatukulelewa hivyo kiongozi sisi ni watu wa kushea hicho kilichopo na kuinuana.
 
Mnakosea nyie watu sasa tushike lipi??? Miafrica hamueleweki!! mara zote mnasema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni......., Watu wakiwa ni mojawapo sasa leo mnawasema tena watu jamani hivi nyie watu weusi mkoje?? MNatakaje km siyo risasi??....
Mpaka wengine mliuza utumwani huko weee!!! miaka mia saba mnauza watu tu!! na hao watumwa wakainua mataifa hayo mpaka leo ndo ma super power Duniani kote!! wakaona ngoja warudishe fadhira mikopo mna pewa buuure! misaada kedekede mle!

Sasa km babu zenu wange zaa katoto kamoja tu!! hayo mataifa yangeendeleaje? mnajifanya kuiga uzungu wenzenu wale vizalio vimetiwa pamba tofauti na sisi weusi!! sisi kuzaa ni starehe!! lkn wao ni adhabu wanasikiaga maumivu wakipigana miti!!!

Mleta mada sisi siyo wazungu unasikia........ongea km mwafrica...hata huo uzungu ukiutaka wafuate wao km hujarudi mkuku!!!!
Dunia haitosimama ukigoma kutembea nayo
 
Kwa wale waliosoma Civics watakumbuka aina mojawapo ya familia ya "extended family" ambayo kwa kiswahili kisicho rasmi ni aina ya familia pana inayokusanya watu wengi zaidi ya wazazi na watoto wao. Hii ni familia inayohusisha watu wengine wengi wasio watoto wa mwenye familia.

Vijana wengi wanaopata ajira au biashara ndogo wanaotoka kwenye extended families ambazo kwa Tanzania ndio aina kubwa ya familia na nyingi zake ni maskini huishia kuhudumia mahitaji ya wanafamilia hizo na kufanya maisha yao yote ya hapa duniani kuwa ya mkononi kwa mdomoni "hand to mouth" bila maendeleo yoyote ya maana.

Nchi nyingi zilizoendelea aina ya familia ni "nucleus family", mtu anahudumia watoto wake wa kuwazaa tu, hakuna habari za mtoto wa mjomba, mpwa, shangazi, mtoto wa baba mkubwa, mdogo n.k. Hata hao watoto wa kuwazaa wenyewe wanapofikisha miaka 21 huwa wanasukumwa kwenda kujitegemea na kutafuta maisha yao binafsi kwa kufanya kazi mbalimbali. Hali hii inapunguza sana utegemezi kwa watu binafsi na kuwafanya hata kipato kidogo wanachopata kuweza kukiwekeza kwenye vitegema uchumi mbalimbali hususani kupitia masoko ya hisa.

Nchini kwetu kijana mdogo tu aliyeingia kwenye ajira ngazi ya chini kabisa kwa mara ya kwanza au umachinga anahudumia familia ya hadi watu 15! Kuna kuendelea kweli katika hali hiyo au ni kuendeleza mduara wa umaskini usioisha?! Lazima tubadilke kama tunataka kuumaliza umaskini.
Mtoa maada uko sahihi kbs, yrs back kulikuwa na extended family ikatokea anaeunganisha akafariki ikabid watu waende njia zao(nuclear family) I am glad asa hivi najua niko responsible kwa wazaz wangu na wadogo zangu imeisha hiyo.
 
Kwa wale waliosoma Civics watakumbuka aina mojawapo ya familia ya "extended family" ambayo kwa kiswahili kisicho rasmi ni aina ya familia pana inayokusanya watu wengi zaidi ya wazazi na watoto wao. Hii ni familia inayohusisha watu wengine wengi wasio watoto wa mwenye familia.

Vijana wengi wanaopata ajira au biashara ndogo wanaotoka kwenye extended families ambazo kwa Tanzania ndio aina kubwa ya familia na nyingi zake ni maskini huishia kuhudumia mahitaji ya wanafamilia hizo na kufanya maisha yao yote ya hapa duniani kuwa ya mkononi kwa mdomoni "hand to mouth" bila maendeleo yoyote ya maana.

Nchi nyingi zilizoendelea aina ya familia ni "nucleus family", mtu anahudumia watoto wake wa kuwazaa tu, hakuna habari za mtoto wa mjomba, mpwa, shangazi, mtoto wa baba mkubwa, mdogo n.k. Hata hao watoto wa kuwazaa wenyewe wanapofikisha miaka 21 huwa wanasukumwa kwenda kujitegemea na kutafuta maisha yao binafsi kwa kufanya kazi mbalimbali. Hali hii inapunguza sana utegemezi kwa watu binafsi na kuwafanya hata kipato kidogo wanachopata kuweza kukiwekeza kwenye vitegema uchumi mbalimbali hususani kupitia masoko ya hisa.

Nchini kwetu kijana mdogo tu aliyeingia kwenye ajira ngazi ya chini kabisa kwa mara ya kwanza au umachinga anahudumia familia ya hadi watu 15! Kuna kuendelea kweli katika hali hiyo au ni kuendeleza mduara wa umaskini usioisha?! Lazima tubadilke kama tunataka kuumaliza umaskini.
Unadanganya kuhusu wazungu. Yani kakaako afe watoto wake husiwasaidie. Mbona kuna hadi Foster family Ulaya wanachukua watoto hata siyo ndugu kabisa.
 
Huo ndio utamaduni wetu. Ex ukioa mpemba ukawa nakauwezo kadogo shemeji wote wanahamia kwako hata sebuleni watalala.
 
No,ni utamaduni wetu sisi Waafrika kuwa na familia hizi. Tumekuzwa hivyo na hata hao babu zetu wamekuzwa hivyo na hata sisi tutawarithisha vijana wetu utamaduni huu wetu adhimu.

Ni identity yetu popote duniani. John Obi Mikel kipindi anacheza Chelsea aliulizwa na wachezaji wenzie wa kizungu kwamba inakuwaje unatuma hela nyumbani kila wiki,jibu alilowapa ni extended family inayomtegemea nyumbani kwao Nigeria. Wakati wazungu hao wanamshangaa ikaibuka taarifa babake Wayne Rooney kukutwa ns kete za unga akienda kuuza ili apate kuishi wakati mwanae akikunja mamilioni kila wiki what a curse!

Ndugu yangu kama hapo ulipo unao unafuu na hauna hata mtoto wa mjomba au shangazi au baba mdogo unakosea sana. Hatukulelewa hivyo kiongozi sisi ni watu wa kushea hicho kilichopo na kuinuana.
Tatizo mazingira tumetoka Kuna roho ya huruma inakujia kipind unawaza Kula kwa tabu lazima uwa save kidgo
 
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu ukipata wainue na ndugu zako
 
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu ukipata wainue na ndugu zako
 
Mnakosea nyie watu sasa tushike lipi??? Miafrica hamueleweki!! mara zote mnasema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni......., Watu wakiwa ni mojawapo sasa leo mnawasema tena watu jamani hivi nyie watu weusi mkoje?? MNatakaje km siyo risasi??....

Dunia haitosimama ukigoma kutembea nayo
ukiona mtu/watu wameiga fkra zako pevu ...basi jua weye ni idealistic wa kutupw na utafika mbali kisiasa kiuchumi hii ni njia mubashara ya mtu kujijua.alivyo....ina maana mtu ana kunukuu semi zako za maana ambazo huigeuza Dunia na hakuwahi kusikia kabla....safi sana nimeipenda hii.
 
Back
Top Bottom