Familia pana tegemezi (Extended Family) ni chanzo cha umaskini kwa watu wengi nchini

Familia pana tegemezi (Extended Family) ni chanzo cha umaskini kwa watu wengi nchini

Mm biinafsi nakiri nilikosa malezo mazur kwa baba yangu sababu ya extended family,baba hakuwa na kipato kikubwa alikuwa mtumishi kada ya kawaida ila alibeba ndugu wengi sana,upande wakw na upande wa mke wake,matokeo yake alikosa hata muda wa kutuhudumia vzr,baada ya kufariki watu wote walitawanyika nyumbani tukaanza kuishi maisha halisi yakwetu,hakuna msaada wala kujuliwa hali,tumepambana tumefka pazur ndugu wanakuja tena,unashangaa tu unapigiwa simu mm fulani mtoto wa fulani mwanangu nina shida kadhaaa....naangalia napuuzia,nimejiwekea azimio kutokusaidia kama mwnyeww na wanangu hakinitoshelezi,hawa ndugu tnasaidia kwa imani na wao watakuja kutusaidia au kusaidia watoto wangu ila inreality haipo hivyo! Wanakuwa wa kwanza kutusahau wakifanikiwa,ni wachachs sana wenye kukumbika fadhila
 
ukiona mtu/watu wameiga fkra zako pevu ...basi jua weye ni idealistic wa kutupw na utafika mbali kisiasa kiuchumi hii ni njia mubashara ya mtu kujijua.alivyo....ina maana mtu ana kunukuu semi zako za maana ambazo huigeuza Dunia na hakuwahi kusikia kabla....safi sana nimeipenda hii.

to make one thing clear kule nimekukopy accidentally sababu Nilikuwa natumia JF website sijaizoea, i am just getting hang of it
 
Mm biinafsi nakiri nilikosa malezo mazur kwa baba yangu sababu ya extended family,baba hakuwa na kipato kikubwa alikuwa mtumishi kada ya kawaida ila alibeba ndugu wengi sana,upande wakw na upande wa mke wake,matokeo yake alikosa hata muda wa kutuhudumia vzr,baada ya kufariki watu wote walitawanyika nyumbani tukaanza kuishi maisha halisi yakwetu,hakuna msaada wala kujuliwa hali,tumepambana tumefka pazur ndugu wanakuja tena,unashangaa tu unapigiwa simu mm fulani mtoto wa fulani mwanangu nina shida kadhaaa....naangalia napuuzia,nimejiwekea azimio kutokusaidia kama mwnyeww na wanangu hakinitoshelezi,hawa ndugu tnasaidia kwa imani na wao watakuja kutusaidia au kusaidia watoto wangu ila inreality haipo hivyo! Wanakuwa wa kwanza kutusahau wakifanikiwa,ni wachachs sana wenye kukumbika fadhila

Pole sana ndg yetu
 
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu ukipata wainue na ndugu zako

Shida ni kwamba, tunaanza kujitutumua kuwainua wengine hata kabla misuli ya kujitegemeza sie wenyewe haijaimarika. Matokeo yake wewe mwenyewe unatetereka na hautoi msaada wa maana Kwa wategemezi.
 
Shida ni kwamba, tunaanza kujitutumua kuwainua wengine hata kabla misuli ya kujitegemeza sie wenyewe haijaimarika. Matokeo yake wewe mwenyewe unatetereka na hautoi msaada wa maana Kwa wategemezi.
Tumia kanuni za kikinga
 
Ili ufanikiwe in extended family tumia kanuni za kikinga.
Unafunga vioo hadi ufanikiwe ukishafika angalau ndio unaanza mvuta mmoja baada ya mwingine, ambao awakubahatika labda kusoma wakati umefunga vioo utajua uwainue vipi, waliofariki wakati umefunga vioo ni kumshukuru Mungu pia.
 
Njia rahisi ya kuondokana na umasikini kwa mtu asiye na kipato au kuinua extended family.
Ardhi still bado ndio mtaji rahisi wa kutokea kimaisha.
Nje ya mji mapori tele yamejaa hata bure au kukodi unaweza pata safisha angalau si chini ya heka 10,panda mazao yasiyo na changamoto mfano kunde, alizeti, mtama, nk.
Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Jinsi ya kutengeneza mashine ya kukamua mbegu za mafuta tafuta bomba inchi nne tafuta Nondo mm 12 ikunje mfano wa spring ingiza ndani ya bomba mbele ya bomba ziba acha tundu dogo.Toboa toboa Bomba vitundu vidogo Ili mafuta yamwagike chini, weka mshikio wa kunyongea Ili ukamue mafuta.
Ukipata pesa kodi nyumba nenda viwandani kafunge bidhaa ambazo ni daily use kisha jaza kwenye nyumba uliyokodi kisha uwe tengeneza network na wauzaji wa dogo uwe unawasambazia bidhaa wanazoishiwa.
Kwa kufanya hivi ndani ya mwaka utakua mbali sana utaoa, utajenga, nk.
 
Njia rahisi ya kuondokana na umasikini kwa mtu asiye na kipato au kuinua extended family.
Ardhi still bado ndio mtaji rahisi wa kutokea kimaisha.
Nje ya mji mapori tele yamejaa hata bure au kukodi unaweza pata safisha angalau si chini ya heka 10,panda mazao yasiyo na changamoto mfano kunde, alizeti, mtama, nk.
Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Jinsi ya kutengeneza mashine ya kukamua mbegu za mafuta tafuta bomba inchi nne tafuta Nondo mm 12 ikunje mfano wa spring ingiza ndani ya bomba mbele ya bomba ziba acha tundu dogo.Toboa toboa Bomba vitundu vidogo Ili mafuta yamwagike chini, weka mshikio wa kunyongea Ili ukamue mafuta.
Ukipata pesa kodi nyumba nenda viwandani kafunge bidhaa ambazo ni daily use kisha jaza kwenye nyumba uliyokodi kisha uwe tengeneza network na wauzaji wa dogo uwe unawasambazia bidhaa wanazoishiwa.
Kwa kufanya hivi ndani ya mwaka utakua mbali sana utaoa, utajenga, nk.

Mkuu wewe unafanya ipi kwenye huu mnyororo wa kuongeza thamani? Unatengeneza mashine, sabuni, unawauzia wachuuzi wadogo, au unalima?
 
Ili ufanikiwe in extended family tumia kanuni za kikinga.
Unafunga vioo hadi ufanikiwe ukishafika angalau ndio unaanza mvuta mmoja baada ya mwingine, ambao awakubahatika labda kusoma wakati umefunga vioo utajua uwainue vipi, waliofariki wakati umefunga vioo ni kumshukuru Mungu pia.

Ndio maana nikasema inabidi uvae roho mbaya Kwa Muda ili kujitengenezea uwezo wa kumsaidia wengine. Unaziba masikio kabisa. Japo Kwa jamii yetu hautaeleweka awali
 
Mzazi huyo ni sehem Yako. Hauwezi kuwatenga. Sawa na kujitenga wewe mwenyewe.
Pia mzazi ndie anaetoa baraka na sio lazima umpe milioni hata buku anafarijika.
Wazazi hawana cha zaidi ya basic needs,inauma umefanikiwa then wazazi hawapo.
Huwa nashangaa Sana mtu unamtoa kafara mzazi au mtoto kisa mali kwa maisha yapitayo.
 
Back
Top Bottom