bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 667
- 1,850
Jana na Leo kuna Habari ilisambaa kwenye Mitandao now imewekwa BBC kuhusu Tajiri namba moja UK mwenye asili ya INDIA Ajay Hinduja kufungwa miaka Minne jela yeye mkewe na watoto wake kwa kosa la kutumikisha Wahindi wenzao kutoka India kwa kazi za Ndani kwa mshahara mdogo sana
Wamefungwa huko Geneva Uswiss walipokuwa wanaishi, Unaambiwa waliwachukua mabinti kutoka India wakawasafirisha hadi Uswiss kisha wakawa wanawatumikisha kazi kwa saa 18 kwa siku huku wakiwa wamepokonywa pasi za kusafiria na hakuna ruhusa ya kutoka nje huku walilipwa pesa ndogo
Hiki kisa kimenikumbusha enzi hizo najitafuta niliwahi kuajiriwa sehem tena kampuni kubwa tu na kazi ilikuwa ni kumsaidia chief C, Mpishi mkuu wa Boss mkubwa tu Tajiri la kihindi hapa Bongo kwa mkataba wa sh 180,000 kwa mwezi ilikuwa mwaka 2015 hiyo, Chief yeye Ali kuwa analipwa 250,000 kazi ya kumpikia Bilionea hiyo jamani Wahindi shkamooni
unapokuwa Tajiri mkubwa hakikisha wasaidizi wako wa Ndani na wanaokupikia uwape pesa nzuri la sivyo wa naweza hata kushawishika kukuwekea sumu wakapotea, Bilionea una mzigo wa Trilioni alafu anaekupikia unamlipa mshahara mbuzi hamuogopi kufa?
Wamefungwa huko Geneva Uswiss walipokuwa wanaishi, Unaambiwa waliwachukua mabinti kutoka India wakawasafirisha hadi Uswiss kisha wakawa wanawatumikisha kazi kwa saa 18 kwa siku huku wakiwa wamepokonywa pasi za kusafiria na hakuna ruhusa ya kutoka nje huku walilipwa pesa ndogo
Hiki kisa kimenikumbusha enzi hizo najitafuta niliwahi kuajiriwa sehem tena kampuni kubwa tu na kazi ilikuwa ni kumsaidia chief C, Mpishi mkuu wa Boss mkubwa tu Tajiri la kihindi hapa Bongo kwa mkataba wa sh 180,000 kwa mwezi ilikuwa mwaka 2015 hiyo, Chief yeye Ali kuwa analipwa 250,000 kazi ya kumpikia Bilionea hiyo jamani Wahindi shkamooni
unapokuwa Tajiri mkubwa hakikisha wasaidizi wako wa Ndani na wanaokupikia uwape pesa nzuri la sivyo wa naweza hata kushawishika kukuwekea sumu wakapotea, Bilionea una mzigo wa Trilioni alafu anaekupikia unamlipa mshahara mbuzi hamuogopi kufa?