Familia ya Dkt. Rwakatare mtafuteni Mshana Jr wa JamiiForums haraka, ni ushauri wa bure!

Familia ya Dkt. Rwakatare mtafuteni Mshana Jr wa JamiiForums haraka, ni ushauri wa bure!

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Enyi familia ya Dkt. Rwakatare nawashauri ushauri wa bure bure bure kabisa, mtafutieni mganga wa JamiiForums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni huyu Diwani hapotei hivi hivi.

Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai?

Mi nasema mtafuteni mshana mganga wetu sisi Wana JF atawasaidia.
 
Enyi familia ya Rwakatare nawashauri ushauri wa Bure Bure Bure kabisa, mtafutieni mganga WA Jamii Forums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni Huyu Diwani hapotei hivi hivi...

Kwa sasa kashamenyeka maganda hana sumu tena
 
Enyi familia ya Dkt. Rwakatare nawashauri ushauri wa bure bure bure kabisa, mtafutieni mganga wa JamiiForums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni huyu Diwani hapotei hivi hivi.

Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai?

Mi nasema mtafuteni mshana mganga wetu sisi Wana JF atawasaidia.
[emoji16] Wala hakuna haja diwani yuko maeneo anakula bata kwa mrija hataki kelele na waswahel
 
Huyo unayemsema sio mganga, alikuwa tu mfanyakazi wa mortuary akawa anashiriki dili za kichawi humo ndio akafahamu mambo fulani fu;lani humo😛😛😛
Dah...[emoji16]
 
Back
Top Bottom