Familia ya kifalme Uingereza kupatiwa walimu 5 wa kiswahili kila mwaka kutoka Dar

Familia ya kifalme Uingereza kupatiwa walimu 5 wa kiswahili kila mwaka kutoka Dar

Siku hizi kila kona upo kwaajili ya kukebehi na kutoa matusi kwenye nchi yetu tukufu ya Tanzania. Unadhani utaweza au unajipa stress tu ambazo hazina sababu.
Nimekuona kwenye mtandao wa Kenya Talk, ukirusha maneno ya kebehi na kujikomba kwa wakenya. Huenda mwenzetu upo na chembechembe za nchi adui wa Tanzania.

Haiwezekani kila kitu kurusha matukano na maneno ya kebehi kwa watu waliokuzidi umri. Ninauhakika karma itakufuata kokote.
Wamjua kwa vilembe kumbe.ahsante San kwa uwepo wako
 
Mboga ninadifia ujenzi wa Chato International Airport hata na Chato Stadium au huoni
Utajipa stress bure tu dada fanyakazi tu haikusaidii kuiponda nchi yako tunakuona huko Kenya Talk unavyohangaika!! Haitakusaidia zaidi ni kujitag tu kwa nchi yako!
 
Nimemalizana na wewe. Kwani Chato hawataki maendeleo!? Are you stupid or something!? Mbona huongelee uwanja wa ndege Songwe!? Mbona huongelei flyovers za Dar es salaam!? Mbona huongelei barabara zinazojengwa Arusha!?
Tabia za kueneza chuki hazikusaidii chochote. Unapandikiza mbegu za chuki ili watu wa Geita wachukiwe!?

Huo ni wehu na roho za kichawi. Wewe unaona ni vitu simple tu unafanya. Labda uwe unatumikia adui wa nchi yetu.
Mkuu huyu msaliti atanyoka tu si muda mrefu!
 
Watoto wakifunzwa na mbongo afrika kusini
Mwalimu: (anaandika ubaoni)reo tutazungumza kuhusu vyuo vikuu balani aflika
Wanafuzi: (wapo kimya maana hawaelewi lugha hawawezi waka -interrupt.wakae kitako wafunzwe)
Mwalimu:vyuo vikuu kwa kimombo ni universities. Say universities.
Wanafunzi: universities!!
Mwalimu: tutaanza na aflika mashaliki (kuzungumza anazungumza vizuri makosa ni katika maandishi)
1.daresaraam
2.makelele university
Mwanafunzi: excuse me teacher where are those universities?
Mwalimu: ze zezeze zey are...........
 
Watoto wakifunzwa na mbongo afrika kusini
Mwalimu: (anaandika ubaoni)reo tutazungumza kuhusu vyuo vikuu balani aflika
Wanafuzi: (wapo kimya maana hawaelewi lugha hawawezi waka -interrupt.wakae kitako wafunzwe)
Mwalimu:vyuo vikuu kwa kimombo ni universities. Say universities.
Wanafunzi: universities!!
Mwalimu: tutaanza na aflika mashaliki (kuzungumza anazungumza vizuri makosa ni katika maandishi)
1.daresaraam
2.makelele university
Mwanafunzi: excuse me teacher where are those universities?
Mwalimu: ze zezeze zey are...........
Hahahaaaa..

Inakera sana.

Infact hiyo ndiyo aina ya walimu tulio nao.

AFLIKA badala ya AFRIKA.

AJAJA badala ya HAJAJA.
 
Mboga ninadifia ujenzi wa Chato International Airport hata na Chato Stadium au huoni
Unasikitisha sana, hizi siasa usipoziangalia kwa jicho la tatu utaonekana zuzu kwa wenye hekima zao. Jaribu kuwa na kiasi ata ambao wako neutral utafanikiwa kuwashawishi ila kwa style hii unaonekana kama kikaragosi au mwanasesele.
 
Ili ukiite Kiswahili kuwa FURSA ni lazima ufahamu na lugha nyingine (hasa ile inayomshindaga mkuu). So vijana wa BA Kiswahili acheni kuota ndoto mbaya huko vijiweni muwaachie Wakenya fursa yao.

Uko sahihi kabisa, kijana wakuta anajua kiswahili vizuri sana baada ya BA Degree yake lakini sentenso kamili na sahihi ya Kiingereza ni ngoma nzito - not fluent in written and spoken English!!!! automatically hawezi kuwa mwalimu mzuri!
 
Kwanini kuna English ya UK, America, Nigeria n.k

ila linapokuja suala la kiswahili tusiseme kuna Kiswahili cha Kenya na cha Tanzania??

Inategemea na matamshi na wakati mwingine spellings. Kwa Afrika tunasema Uingereza ilitawala Nigeria LAKINI Wa Naijeria (Nigerians) waliitawala/wametawala Kiingereza(UK colonized Nigeria and Nigeria colonized English)!
 
Back
Top Bottom