Ndio maana siku hizi cervical cancer kwa wadada ni za kiwango Cha juu mno.They don't give you attention,
They don't cherish you
They don't converse with you
It is a crime before man and a sin before God.
Wachina wanaweza kuchezea hizo plastik ukapata kansa isiyo mfano.
Possible sio boyfriend tu, kuna watu nyuma ya pazia, make haiingii akiliniSi ndo hapo, angemchuna ki utu uzima. Angemwambia baby unaonaje hata tukifungua biashara so and so, mimi ntasimamia.
Umedandia. Anzia tangu mwanzo. Sikusema unayojaribu kunipinga.
Kuna wanaume wanauliwa kwa sababu ya mali tena wapo wengi tu pia wanawake huuliwa kwa sababu ya mali kama huyo mke wa Joe sasa hii habari ya kusema wahindi sijui wanafanyaje haiwezi kuzuia binadamu kuuana sababu ya mali jambo la msingi kila mtu anapaswa kuwa makiniWanawake wanachukulia vitu kiurahis... ndio maana waarabu hata wahindi hawawaachi wanawake wafanye maamuzi.. mume akifa kama kuna mahela mwanamke hapewi hizo hela.. ila anapewa huduma zote na ukoo wa mume.. mpaka atakapoolewa tena
Wivu gani tena jamani? Wa kushindwa kusugua? Du. Sasa wewe kama ndiyo raha yako usilamishe kila mtu aone hivyo. Comment yangu ni standard na ina-apply kwa wanawake wengi i.e. mapenzi ni zaidi ya hiyo kusugua. Kama wewe hiyo ndiyo raha yako basi ruksa ila usilamishe wengine waseme hivyoNiseme na wewe umedandia maana ulipoanza kujibu ulijibu huku ukiwa hujanielewa na ukaleta mada zako mpya ndani yake maneno ambayo sikuyaweka kwenye original comment yangu
Itoshe kusema hukunielewa
Hata hivyo kama kuna watu wanataka kusuguliwa wacha wasuguliwe kama wanataka wapapaswe wacha wapapaswe kila mtu afanye atakacho kuwashangaa Au kuwapangia ni kama vile wewe kusugua huwezi Au unawaonea uwivu wanao suguliwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Happy Sunday mkuu
Wivu gani tena jamani? Wa kushindwa kusugua? Du. Sasa wewe kama ndiyo raha yako usilamishe kila mtu aone hivyo. Comment yangu ni standard na ina-apply kwa wanawake wengi i.e. mapenzi ni zaidi ya hiyo kusugua. Kama wewe hiyo ndiyo raha yako basi ruksa ila usilamishe wengine waseme hivyo
Very interesting comparison
Kisa cha kwanza askari kajiua baada ya mkewe kufariki! Huu unaitwa upendo wa dhati
Kisa cha pili ni hiki, mume kafariki mke katafuta mchepuko! Huu unaitwa upendo maslahi... Sentimental love![emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
I don’t believe kama boyfriend ndio kaua mchepuko na watoto kwa sababu hata wakifa yeye sio mrithi na angetaka hizo hela zinazoenda bank angemuua mke hata kwa sumu au angemlainisha kwa mapenzi akapewa hizo hela
Hii story ni kutunga
hapa kuna mkono wa ndugu wa mume
I don’t believe kama boyfriend ndio kaua mchepuko na watoto kwa sababu hata wakifa yeye sio mrithi na angetaka hizo hela zinazoenda bank angemuua mke hata kwa sumu au angemlainisha kwa mapenzi akapewa hizo hela
Hii story ni kutunga
hapa kuna mkono wa ndugu wa mume
Imenifikirisha sanaDah! inasikitisha sana
Unaanzaje kumuua dada/mama mrembo kama huyo
Kwahiyo ni kusema Mshana kalewa?Nadhani kushuka kwa kodi ya vileo kumechangia hali hii.
Halafu nikatoa loku kidogo[emoji24][emoji23]Itakuwa huzuni imemuelemea Mshana Jr: kama ndiye ...Ni Simanzi kubwa...Wapumzike kwa Amani
AlrightWakuu imetosha naomba mniwie radhi sana, nipeni muda nipate habari yote kwa ukamilifu
My apology again kwa kutokidhi kiu yenu juu ya habari hii.. NAKIRI MAPUNGUFU!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwalihemu sasaMi naangalia tu urembo wa mama.
Huyo wa kulia mhhhFamilia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa
Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.
Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.
“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.
“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.
Soma pia
1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili
View attachment 1816190
Kwa wanaomjua wanasema alikuwa ni mwekezaji mzawa/mfanyabiashara wa kujenga na kuhudumia minara ya simu...Huyo Joe ni nani?
Possible sio boyfriend tu, kuna watu nyuma ya pazia, make haiingii akilini
Pasco ulitaka kula kimasiharaWajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Kwani Hugo kijana ana umri gani?Ni tatizo la wanawake Aged kupenda vijana kitu hawaelewi vijana wanatumia makalio kufikiri huyo mrembo angekuwa anatoka na mtu mzima mwenzie mwenye familia yasinge mkuta