Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Anzia Mkapa na Mramba walipoibinafsisha Tanesco.Kuna hawa wafu wanaitwa Mramba, kila likitokea tatizo la umeme lazima wajitokeze mbele na stori nyingi zisizobadilika.
Ningependa kufahamu hawa ni wamiliki wa TANESCO au wanahisa au wamesomea sana umeme na kwamba bila wao umeme hautakuwepo Tanzania?
Kuna siri gani kati ya familia ya Mramba na matatizo ya Nishati nchni? Are they problem creater or problem solver? Sometimes unaweza ukawa umesoma sana lakini huna bahati yakufanya jambo likafanikiwa. May be hawa watu wanaweza wakawa na uwezo mkubwa wa akili lakini hawana baraka na kipawa chakufanya mabadiliko ;
Wafu, wanaitwa Mramba?!Kuna hawa wafu wanaitwa Mramba, kila likitokea tatizo la umeme lazima wajitokeze mbele na stori nyingi zisizobadilika.
Ningependa kufahamu hawa ni wamiliki wa TANESCO au wanahisa au wamesomea sana umeme na kwamba bila wao umeme hautakuwepo Tanzania?
Kuna siri gani kati ya familia ya Mramba na matatizo ya Nishati nchni? Are they problem creater or problem solver? Sometimes unaweza ukawa umesoma sana lakini huna bahati yakufanya jambo likafanikiwa. May be hawa watu wanaweza wakawa na uwezo mkubwa wa akili lakini hawana baraka na kipawa chakufanya mabadiliko ;
Huekeweki,Kuna hawa wafu wanaitwa Mramba, kila likitokea tatizo la umeme lazima wajitokeze mbele na stori nyingi zisizobadilika.
Ningependa kufahamu hawa ni wamiliki wa TANESCO au wanahisa au wamesomea sana umeme na kwamba bila wao umeme hautakuwepo Tanzania?
Kuna siri gani kati ya familia ya Mramba na matatizo ya Nishati nchni? Are they problem creater or problem solver? Sometimes unaweza ukawa umesoma sana lakini huna bahati yakufanya jambo likafanikiwa. May be hawa watu wanaweza wakawa na uwezo mkubwa wa akili lakini hawana baraka na kipawa chakufanya mabadiliko ;
Akili zako zimejaa tope.Acha uwongo,, wakati wa mramba ndo alitaka kudouble ushuru wa umeme kwa watumiazji ili tulipe pesa za ufsiadi na mikataba feki.Hii tabia ya mutu wa kasikazini kuguswa kwa kuondolewa cheo kikubwa basi inaonekana kaonewa lakini wakiondolewa wengine inaonekana sawa ni Moja ya ujinga wa ovyo sana.Mramba ndo aliye sign mkayaba na Symbion wakati wa uchaguzi wa Rais ,,kwanini hakusubiri hadi Rais mpya aingie ndo amushirikishe mkataba husika wa kifisadi.
Msipende kulaumu watu bila sababu. Ni Mramba alisaini au Katibu Mkuu wa Nishati?. Kati ya watu waliotumbuliwa na Magufuli nikaumia ni Mramba.Acha uwongo,, wakati wa mramba ndo alitaka kudouble ushuru wa umeme kwa watumiazji ili tulipe pesa za ufsiadi na mikataba feki.Hii tabia ya mutu wa kasikazini kuguswa kwa kuondolewa cheo kikubwa basi inaonekana kaonewa lakini wakiondolewa wengine inaonekana sawa ni Moja ya ujinga wa ovyo sana.Mramba ndo aliye sign mkayaba na Symbion wakati wa uchaguzi wa Rais ,,kwanini hakusubiri hadi Rais mpya aingie ndo amushirikishe mkataba husika wa kifisadi.
Punguza assumptions zisizo na uhalisia.Mramba maana yake ni "togwa". Juice ya ndizi! Hamna kitu hapo!
Aliondolewa Kwa majungu ndio maana akapewa nafasi kubwa zaidi. Unamtenguaje mtu yupo kijijini anakula keismasi Kama sio hiyana....Kwa hiyo huo Ukatibu Mkuu alioteuliwa hakukuwa na Mwingine ambaye angeweza kushika Cheo Hicho ???
Kuwa humble kwako si lazima awe kwa watu wote, tupo bao tunapigisha raundi baa kwa kata mti panda mti lakini nyumbani mtoto akiniomba hela ya daftari atajuta.Akili zako zimejaa tope.
Felichism Mramba ni kati ya viongozi bora kabisa kuwahi kuiongoza tanesco na sasa katibu mkuu Nishati.
Very humble one na mcha Mungu.
Hutaki kunywa sumu