U Uzalendo wa Kitanzania JF-Expert Member Joined Mar 8, 2020 Posts 3,585 Reaction score 8,106 Oct 20, 2024 #1 Familia ya Naibu Rais mteule Kenya Profesa Kithure kindiki inao maprofesa watano na madaktari wa falsafa watarajiwa 4! Wadau hamjamboni nyote? Familia bora kabisa kitaaluma. Niwatakie siku njema.
Familia ya Naibu Rais mteule Kenya Profesa Kithure kindiki inao maprofesa watano na madaktari wa falsafa watarajiwa 4! Wadau hamjamboni nyote? Familia bora kabisa kitaaluma. Niwatakie siku njema.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Oct 20, 2024 #2 Nice
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Oct 20, 2024 #3 Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π
K Kashishi yetu JF-Expert Member Joined Mar 22, 2014 Posts 3,509 Reaction score 3,741 Oct 20, 2024 #4 Familia unakuta yote mateja jingine kahaba yaani
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Oct 20, 2024 #5 kimbendengu said: Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π Click to expand... Kwanza unajua Mwijaku ni graduate wa UDSM?
kimbendengu said: Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π Click to expand... Kwanza unajua Mwijaku ni graduate wa UDSM?
Geza Ulole JF-Expert Member Joined Oct 31, 2009 Posts 65,136 Reaction score 91,917 Oct 21, 2024 #6 Mtoto wa Shule said: Kwanza unajua Mwijaku ni graduate wa UDSM? Click to expand... Graduate Halafu unakuwa mpumbavu namna Ile? Kujigalagaza kwenye mavumbi?
Mtoto wa Shule said: Kwanza unajua Mwijaku ni graduate wa UDSM? Click to expand... Graduate Halafu unakuwa mpumbavu namna Ile? Kujigalagaza kwenye mavumbi?
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Oct 21, 2024 #7 kimbendengu said: Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π Click to expand... Kunguni
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Oct 21, 2024 #8 Geza Ulole said: Graduate Halafu unakuwa mpumbavu namna Ile? Kujigalagaza kwenye mavumbi? Click to expand... Ahahahahaha! Kwako wewe graduate anatakiwa awe amevaa tai na three pieces suit sio? Ahahahahaha!!!
Geza Ulole said: Graduate Halafu unakuwa mpumbavu namna Ile? Kujigalagaza kwenye mavumbi? Click to expand... Ahahahahaha! Kwako wewe graduate anatakiwa awe amevaa tai na three pieces suit sio? Ahahahahaha!!!
ZOPPA JF-Expert Member Joined Jan 20, 2017 Posts 2,729 Reaction score 2,891 Oct 21, 2024 #9 kimbendengu said: Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π Click to expand... Mamqmake mamalishe ana fanya carteling mpambaji na anapenda vijana wenye six pak
kimbendengu said: Naomba familia ya mwijaku ina nini!!?π Click to expand... Mamqmake mamalishe ana fanya carteling mpambaji na anapenda vijana wenye six pak
Wagumu Tunadumu JF-Expert Member Joined Dec 10, 2022 Posts 5,276 Reaction score 17,354 Oct 21, 2024 #10 Nikiwaga kwenye harusi ukute upo mc ni full kusifia familia kama hz unaweza ukose hata hamu ya kula chakula chao kama kaelimu kako ni kakuunga unga
Nikiwaga kwenye harusi ukute upo mc ni full kusifia familia kama hz unaweza ukose hata hamu ya kula chakula chao kama kaelimu kako ni kakuunga unga