Mkuu Juve2012,
Ina maana na huu mradi ya yale yale madudu kuwa wataweka mkataba mkubwa na kuchota hela za Mkopo?
Weka ushahidi wa nyaraka, haya maneno matupu hata mie ningeweza kuyatunga na kuyaandika humu JF
Yericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
View attachment 200994
Virus...kweli kabisa Mkuu. Yeriko baada ya kutoswa uongozi bavicha amerejea kazi yake ya uchonganishi na umbea
mrad wa dart hakubuni dhaifu ulikuwepo tangu enzi za mkapa na mkapa ndye aliyeomba fedha.kalaghabahoTusi kubwa kwako mkuu
Okey sawa lakini mbona mahakama zetu hazija amua in favor ya tanesco?
Au nazo zimekatiwa ?
Hii ishu pia inatokana ujinga jinga.
Zamani serikali ilijenga Mtera Kihansi Pangani Kidatu na nk . Hizi zote zikimilikiwa na serikali 100% .
Leo tumetiwa ujinga na wazungu tunawapa watu kuzalisha umeme.
Hii si biashara hii ni national service na jambo muhimu la uchumi na usalama wa nchi.
Leo watu tunakubali ushauri za kijinga kabisa kama hatuna akili.
Leo wangewezeshwa tanesco kununua majenereta wakazalisha umeme bila shaka bei ingekuwa chini
Sasa kuna maporomoko huko rufiji na singida badala ya kuwawezesha tanesco wakazalisha umeme tutawapa watu binafsi.mambo ya ajabu kabisa..
Ignorance is a lot like alcohol: the more you have of it, the less you are able to see its effect on you. (Jay M. Bylsma)Tuziweke records sawasawa..........
Yerricko hajawahi kuleta ubaoni kitu cha maana zaidi ya majungu na umbea. Hata hili ni ujinga uleule wa BAVICHA.
Hahahaaaaaaaaaa ni MENDE TUU HAWA.
Mkuu ndiyo bavicha wengi akili zenu zilivyo uwezo wa kufikiri sifuli.Naona umeamua ku-copy na ku-paste ile taarifa ya Yericko
Ni equation ya power relation, huwezi elewa kama huwezi hoji sababu ya wewe kuwa hapo wakati anayekanusha ni wa "first family"!!!!anayetuhumu haleti ushahidi lakini anayetuhumiwa akikanusha anaambiwa kakanusha kikawaida, hii sio sawa. Hivi ingeandikwa katika thread hapo kuwa mmojawapo wa wamiliki wa simba trust ni wewe ungekanusha kivipi zaidi ya hivyo alivyokanusha miraji?
Mkuu ndiyo bavicha wengi akili zenu zilivyo uwezo wa kufikiri sifuli.
Naona yericko ameamua kutumia ile id yake nyingine kuweka tena uzi huu mods tuondoleeni taka hii au iunganishwe kwenue andiko la jana naona hakuna kipya.
Wanakula nini mkuu kwani kwenye hili andiko kunakitu cha maana hata kimoja kilichoandikwa zaidi ya vitu vya kutunga na porojo zisizokuwa na maana.Hawa mafisadi wanakula bila hata kunawa mikono. Sijui Wadanganyika watajifunza lini kuwa majasiri kama Burkina Faso?
Kweli mkuu jamaa naona leo kaja na nyingine jana niliona kwa mbali katumia ile id yake ya yenye jina la kudandia toka ukoo wa nyerere.Kama mlimbana kwenye mijadala sio mbaya akatumia id nyingine mpya ili kufikisha meseji kwa umma wa watanzania