DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
View attachment 200994

mjepo we ni sawa na mwendawazimu kakimbilia kwenye nyumba ya vchaa.....tena nahisi ulisoma enzi za wakurupurukaji wasio na sababu...rada...china issues hukumbuku?
au we ndo wale waelewa baadae.?
 
Yericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
View attachment 200994

Lini itakuwa kaka, maana muda wake ndo umeisha hivyo. Kigamboni imeishia wapi, maana model yake ilikuwa balaa zaidi ya hii. Maneno si sawa na vitendo.
 
Mkuu So Noto, si nikaingia humo mbio mbio, nikidhani ni dezo!.Nimejitokwa baru mwenyewe!.

Pasco.

Pole mkuu there is no free lunch, ila kwa committed investigative mwandishi anaweza kuingia kutafuta ukweli wa hii kitu kwa gharama kidogo.
 
Pole mkuu there is no free lunch, ila kwa committed investigative mwandishi anaweza kuingia kutafuta ukweli wa hii kitu kwa gharama kidogo.
Asante, kama Brela ni bure, why spend?!.
Ila pia modes wa jf wana guts!, tuhuma zimeletwa bila any proof na thread ipo mpaka leo!.

Pasco
 
Hii kali kuliko ,mkuu @yerriko umeadika kwenye kile kijiwe mkabala na mhongwa
 
Baba yeriko una uwakika na taarifa hizi? na km ni kweli mbona kimya kimezidi kule.mjengoni!!!!!?????
 
Duh, 400m capacity charge kwa siku hadi 2033, shame!

Hawa bora kwani wamepunguza bei ya kuzalisha umeme hadi kuwango cha chini zaid ya mara 10 kuliko songas na wengine.
Na hizo capacity charges ni za chini kuliko wengine
 
Ushuzi mtupu.
Chuki nyengine ni ujinga
Salama kikwete ni mtoto wa mama salma na miraji ni mtoto wa mama mwengine.
Hawa ni ndugu lakini ukweli kila mtu na lake wanajuana kwa baba tu ni kikwete.
Kwa ufupi miraji na mama salma ni kama mbingu na ardhi.
Umewahi kumuona miraji hata akiwa na baba ake? Au akiwa katika function za mama ake?
Wanapatana ni ndugu lkn kwenye mambo haya sidhani kamairaji angekua choice kuwakilisha familia.
Hivyo hizi stori za chuki tu .
Ni chuki za kuchafua familia ya kikwete hakuna chengine.
Hapa nyumba nyingi za NHC uhuru na mjini alizichukua mama mkapa na kuwapa wachaga wenzake nyengune mpaka leo zipo magofu hamsemi kwa sababu wachaga ndio mafisadi ..
Ila mnaona kikwete ndio wa kujambo mashuzi yenu.
 
Unaelewa ama ya neno "ushahidi"?

Unakomalia neno usilolijua. Wwwe kweli ni box, ndio maana unatamani ungekuwa Miraji. (Akili za mabox)

kwa hayo uliyoandika ni USHAHIDI WA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI kwa kila great thinker humu JF
 
Doh balaa!!! Tanzania hatuna sababu ya kuwa nchi maskini. Tuna vyanzo kibao vya kutuletea fedha from madini(Tanzanite,diamond,gold etc) mbuga za wanyama, bahari ,two big lakes, mountkilimanjaro, plenty of land, tuna gesi. Kinacho tufanya tuwe maskini ni kuendelea kulea watu mafisadi wasiokuwa na huruma na watanzania hata kidogo. Walafi waliopitiliza mipaka. Haijalishi aliyehomola ni nani muhindi au mzawa cha msingi ni kumchukulia hatua na walafi kama hawa imefikia hatua inabidi kunyonga tu ili iwefundisho na kuhakikisha hamna mtu mwengine atakayerudia kufanya ulafi kama huo.Inashangaza tumefikia hatua hata hospitali zetu zinakosa dawa lakini bado tunalea mijitu inayojilipa milioni mia mbili kwa siku!!!!😕😕😕 😕
 
Najaribu kuwaza juu ya haya maelezo na yafuatayo yananijia akilini:
Hivi kweli kama na huyu anaishi kwa 'jasho lake' ni nani sasa anaishi kwa jasho la mwenzake Tanzania!?
Hivi mtu 'asiye na pesa nyingi' anao uwezo wa kuwa 'just now near Baltimore, MD, USA!?
...na ni wapi hilo 'jasho' huwa linamtokea? (sehemu yake ya kazi ni wapi?)
Wengi watasingizia na wengi watasingiziwa pia lakini ukweli ni kwamba IPTL ni genge la watu wasio wazuri kwa mustakabali wa nchi hii na ni swala la muda tu, watajulikana. Wana nguvu kubwa, wana pesa nyingi, wana madaraka makubwa, wana elimu kubwa, wana jeshi kubwa nk, lakini sio wakweli na hili ndilo litawapeleka wanakotakiwa kuwa.

View attachment 201770
 
Hao vigogo wa upinzania waanikwe hapa kkunako mtandao manake wao wana dhambi kubwa zaidi kama watakkuwa wameshriki ulaji kharamu huu!
 
Aliyetoa habari hizi alete documents zinazoonesha kwamba Miraji na Salima ni wanahisa wa Simba Trust.

Vinginevyo habari hii haijakamilika. Ina kasoro.

Tuwe waangalifu. Yericko Nyerere unaweza kujikuta matatani kaka. Uko tayari "kuisaidia polisi"?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom