Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Kwanini haya yote kipindi hiki?
Siyo bure kuna Mamba anasukuma kete nyuma ya haya na lengo lake ni nini hasa?

1.Warning alert kwa Mamlaka ukizingatia yaliyojiri 2024?

2.Legacy ichafuliwe kuelekea oktoba 2025 ili madudu ya awamu ya sita yasijadiliwe?

3.Kete za Ring Leader(King Maker OG) kutimiza lile lengo lake la kuwamaliza Push Gang ambao wamerudi kwenye system kwa Wingi kama back up ya Watch hundred baada ya kugundua zile njama za vijana 1970's na kuamua kuwatema na kukumbatia Timu White hair na Timu Push gang?

4.Ipo ajenda ya siri na tutegemee mengi kabla ya mwezi Agosti Mamlaka yatakapokuwa chini ya the State na pengine ile kauli ya mambo yakiharibika hizi ni dalili za mwanzo za kuvujisha siri tusizotegemea?

5.Tena haya yanajiri kipindi kuna mnyukuano mkali ndani ya CDM na pesa za Abdul zikitajwa sana.maswali ni mengi kuliko majibu ngoja tuone sababu tuhuma kama ile kwa aina ya kiongozi aliyetajwa hakika kuna mazito ni vyema kutulia zaidi kuliko kukurupa kutoa maoni Kabendera siyo mjinga na hata hao waliompa huo ushahidi wala siyo wajinga hata kidogo muda ni mwalimu mzuri.
 
Nyani Ngabu,
Je na hao wazazi na ndugu wa hao ambao serikali ya Magufuli iliwaua na kuwatesa wakashitaki wapi? Je hao uhai wao hauna thamini?

Muhimu ni serikali iunde tume huru ya kuchunguza mauaji yote chini ya Magufuli na Samia. Hawa ni wauaji sawa na wauaji wengine wowote.

Unafikiri ile tume ya Samia ya kuchunguza kupotea pesa za serikali Kwanini hawajatangaza report yake? Mahela Kibao yalikutwa chato na mengine kupelekwa kwa Balozi wetu China.
Nashangaa mtu kama wewe unaendelea kuunga utawala dhalimu kama huo.

Wazazi wa Saanane wana haki ya kuidai serikali iwapatie mwili wa mtoto wao.
 
🤣🤣
 
Kwanini Mwinyi hajawahi kusingizia kuuwa wala kuteka?
 
Kweli inafedhehesha sana kuingia na majuha na ujuha ule ule wa 2024 mwaka 2026
 
Kweli inafedhehesha sana kuingia na majuha na ujuha ule ule wa 2024 mwaka 2026
walau badilika gentleman mwaka huu mpya2025,

sio una jipiga kifua kwamba ni mwerevu badala yake, una mbwelambwela tu kwa kubweza maoni na mitazamao ya wadau bila kupambanua uerevu wako na mawazo mapya bora zaid.

hiyo ni useless gentleman mahali pa heshima kama JF, right?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…