Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Samia ana ubaya wa kuiga, Magufuli alikuwa kazaliwa nao. Huyo Samia ni ule ubaya baada ya kupata madaraka haya ya wizi wa kura, lakini ukimtoa kwenye madaraka ni wa kawaida sana. Magufuli bila hata madaraka alikuwa na roho chafu.
Magufuli bila madaraka una maanisha Magufuli kabla ya kuwa hata waziri?
 
Toka akiwa anatambaa.
Hate can negatively affect the body by triggering the release of stress hormones, leading to increased inflammation throughout the body, which can manifest in various physical symptoms like headaches, digestive issues, high blood pressure, weakened immune system, and even increased risk of heart disease, all due to the chronic stress associated with harboring hatred; it can also contribute to mental health problems like anxiety and depression.
 
Wote uliowataja walikua na direct interest na hao wazungu

Kama hao wa kwetu waliouwawa wa feki na direct interest, ingrown hao wazungu wamekuja

We should know our limits

Investigation is costly, and whoever pays for it must have special interests
 
Nimerud kusoma maandiko ya Ben juu ya madai ya PhD..madai yalikiwa mazito na Kwa madai hayolazima mtu ukasirike...Ben alipiga kwenye mshono sana
Kwahiyo adhabu ni magufuli kumtandika risasi ikulu?
Hakustahili adhabu hiyo.
 
Wote uliowataja walikua na direct interest na hao wazungu

Kama hao wa kwetu waliouwawa wa feki na direct interest, ingrown hao wazungu wamekuja

We should know our limits

Investigation is costly, and whoever pays for it must have special interests
Spare me huo upumbavu wako, dhamira ya kutaka kupata kweli ndio ilisababisha waitwe kufanya uchunguzi.

Investigation is costly and you mean we don't have interest of solving Lissu's attempted assassination? Hatuna interest za kujua BenSaanane yuko wapi? Kazi ya serikali siyo kulinda uhai na mali za raia wake?

Utakuwa una matatizo kichwani propaganda zimekujaa hadi unakuwa mpumbavu. Kwa nini vyombo vyetu vya usalama havitaki kuchunguza upoteaji wa Ben Saanane?

Umeruka hoja ya wazungu kuwa competent unaleta hoja ya kuwa wana interest na hao, bullshit kaa kwenye hoja ni kuwa hawawezi au interest?
 
Hawawezi kumpeleka mahakamani kwa sababu wanaogopa madudu yatakayoibuka kwenye cross examination.

Samia ataitwa kutoa ushahidi kama kweli Magufuli alitaka kumbaka mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia hayuko tayari kuwa shahidi kwenye kesi hiyo.
 
Nakuhakikishia hakuna nzi wala kiroboto yeyote anaweza kumshtaki Eric Kabendera kuhusu tuhuma za Magufuli kumuua Ben Saanane.

Wakifanya hivyo watakuwa wamefungua "Pandora box". Uovu wa Magufuli haumithiliki kwa kuwa hata familia yake sasa inajisikia nafuu kuishi bila Magufuli
 
Kwa hiyo Kabendera na wenzake wanaweza kuzusha mambo na kujificha chini ya hiyo ‘pandora’s box’.

Simwamini Kabendera wala Lisu. Ni watu waongo waongo sana.

Ni wazushi.

Familia ya Magufuli wasipofanya kitu juu ya hizo tuhuma, nitawadharau sana.
 
Calling me out of my name is not proof that Magufuli killed Ben Saanane.
 
Naona umeleta upumbavu promax

Haya walete basi waje, walipie upate majibu

Kuropoka is very easy…. Kutenda sufuri, just know your limits kenge we

Kawalete basi

You want to compare us government staff and diplomats or usa puppet mkenya to my friend Ben and kibao?

You are such an asshole
 
Gobbledygook!
 
What Pandora’s box?

Tuhuma za kuua ni kubwa mno kushinda hiyo fictional box yako.

Ama ni kweli Magufuli alimuua Ben kwa kumpiga risasi kichwani au uongo.

There’s no in between.
 
Kabendera hajaisema familia ya Magufuli bali kamsema Magufuli

By the way, familia ya Magufuli inaujua vizuri ukatili wa mzee wao
Wapi ushahidi Magufuli alimuua Ben kwa kumpiga risasi?

Naona watu mnapenda tu sensationalism.
 
Nani kamtuhumu Samia kumuua raia kwa kumpiga risasi Ikulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…