Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

I’m all for it. Ila Kabendera naye ni lazima atoe ushahidi na awataje waliomwambia.
Ili iweje? Mwenzako ameandika kwa reference nyingi sana. Wewe unapiga mayowe tu. Unaweza andika kitabu chako pia kwa upande unaona unafaa
 
Rafiki yako Chige yupo wapi siku hizi??..
 
Magufuli alikuwa kichaa na mlevi wa madaraka aliyependa kusifiwa sana. Hizi tuhuma sio mpya na kwa mtu anayemjua vizuri huyo shetani wa Chato, hilo tukio alilifanya na mengine mengi kama hilo
kwa akili zako hz kwan civil warswar zisiwepo Africa , kuchuja habari kwako mtihani , na hamjiiww athari ya hz porojo zenu?
 
Magufuli alikuwa mtu wa kuendeshwa na hisia sana kuna uwezekano hilo jambo likawa lina ukweli ndani yake.
alifikaj ikulu bila watu kujua ? mbona ya samia yamevuja kwann ya Jpmkati hayakuvuha kipind akiwa hai
 
umeandika vzr ila utawala wa Sa100 umekuwa na mauaji ya kutisha kuliko awamu zote huko awali , ss hv kila taasisi inavimba sabab mama yupo nao , polis wanataka na kuua wajisikiavyo hakuna wa kuwahoji
 
umeandika vzr ila utawala wa Sa100 umekuwa na mauaji ya kutisha kuliko awamu zote huko awali , ss hv kila taasisi inavimba sabab mama yupo nao , polis wanataka na kuua wajisikiavyo hakuna wa kuwahoji
Sure, Bi mkubwa ni silent killer siyo mropokaji kama Baba J. Tena kuelekea uchaguzi watu wawe makini sababu atakula vichwa vya kutosha iwapo atagombea. Lakini kila mtu atalipwa kadiri atendavyo, auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga.
 
Huelewi mambo wewe. Kwanini unafikiri hili jambo ni la familia ya Magufuli? Na kwanini unafikiri Magufuli hawezi kuuwa mtu?! Ulikuwa unamjua Jiwe vizuri kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…