Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Magufuli alikuwa mtu wa kuendeshwa na hisia sana kuna uwezekano hilo jambo likawa lina ukweli ndani yake.
 
Magufuli alikuwa mtu wa kuendeshwa na hisia sana kuna uwezekano hilo jambo likawa lina ukweli ndani yake.
Rejea ya Qur'an:

Allah anasema katika Qur'an:

"Enyi mlioamini! Ikiwa fasiki anakuleteeni habari, ichunguzeni kwa makini, msije mkawaumiza watu bila kujua, na mkawa wenye kujuta kwa mlilotenda."
(Surat Al-Hujurat: 6)



Aya hii inasisitiza kwamba, kabla ya kuchukua hatua yoyote kwa msingi wa habari zilizopokelewa, inapaswa kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha ukweli wake.

Hadithi ya Mtume Muhammad (S.A.W):

Mtume Muhammad (S.A.W) alisema:

"Kuwa na tahadhari na uvumi, kwani uvumi ni maneno ya uongo."
(Bukhari na Muslim)



Mtume alisisitiza umuhimu wa kuwa na tahadhari na habari ambazo hazijathibitishwa, kwani zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii.

Mfano wa Tukio:

Katika kipindi cha Mtume, taarifa zililetwa kwake kuhusu baadhi ya watu wa kabila fulani waliodaiwa kusaliti ahadi zao. Mtume hakuchukua hatua ya haraka, bali alituma wajumbe wake kuchunguza ukweli wa madai hayo. Uchunguzi huo ulizuia maamuzi ya haraka ambayo yangeweza kusababisha madhara kwa watu wasio na hatia.

Funzo kwa Jamii:

1. Kujiepusha na haraka: Hakuna maamuzi yanayopaswa kufanywa bila uchunguzi wa kina.


2. Kusikiliza pande zote: Usikivu wa haki unahakikisha kila mtu anapewa nafasi ya kueleza upande wake.


3. Kudumisha amani: Uchunguzi wa habari huondoa fitina na uvumi ambao unaweza kusababisha mtafaruku katika jamii.
 
MTUME KATIKA MASWALA KAMA HAYA
Tukio katika maisha ya Mtume:

Katika tukio moja, kipindi cha Mtume, mtu mmoja kutoka kabila fulani aliuawa bila haki. Mtume aliagiza uchunguzi wa haraka ufanyike na kuhakikisha waliotekeleza mauaji wanawajibika. Katika tukio hili, Mtume aliwaonya viongozi wa jamii dhidi ya upendeleo au kuchelewesha haki, akisema:


(Bukhari, Muslim)
Mtume alisisitiza kuwa kuchelewesha haki au kuzembea katika kushughulikia dhuluma kunaweza kusababisha Mtaarufuku mkubwa katika jamii
Cc
Nyani Ngabu
Story za Muhammad zinachanganya sana! Mpaka anaagiza uchunguzi alikuwa kiongozi wa kijamii au kidini? Na kama alikuwa kiongozi mbona jina lake si kati ya historia ya majina ya viongozi wa Maka/Madina?
 
Akili nyingine hizi hivi kitabu mpaka kitoke hakina ukaguzi? Jibu rahisi ni mpango madhubuti uliondaliwa kuwatoa watu kwenye uhalisia uliopo na kuwarudisha kwenye uhalisia wa kufikirika ,

kwa jicho la kawaida tu huo ni mpango uliopitishwa na waliopo ila waliopo nao wakati utaisha nao.
 
Tatizo la watu kama Kabendera huwezijua kama anaohuo ushahidi au Laa!

Familia inaweza kutamani kufanya ulichoshauri lakini ikiwa itabainika ni kweli. Nini kitatokea?

Hakuna ambaye yupo tayari kumvua Marehemu Baba au Mume nguo tena Akiwa kaburini
 
Kipindi haya yanatokea;
1. Saa100 alikuwa Makamu wa Rais - Sasa ni Rais
2. Majaliwa alikuwa waziri Mkuu Hadi Sasa ni Waziri Mkuu
3. Mpango alikuwa waziri wa Fedha- Sasa ni Makamu wa Rais
4. Doto alikuwa waziri wa madini - Sasa na Naibu waziri Mkuu

Sasa wanapiga kimya🤣🤣 mnasema familia ya Magufuli,ihangaike na Kabendera!

Kwani Serikali imekwenda likizo?
Hao niliowataja hapo juu,na waliondoka na JPM?
JPM alimfunga,mkamuonea huruma
Eeghh kweli kabisa
 
Story za Muhammad zinachanganya sana! Mpaka anaagiza uchunguzi alikuwa kiongozi wa kijamii au kidini? Na kama alikuwa kiongozi mbona jina lake si kati ya historia ya majina ya viongozi wa Maka/Madina?
Profesa Michael H. Hart: Mwanafizikia na mwanaastronomia Mmarekani, aliyeandika kitabu "The 100: A Ranking of the Most Influential Persons in History". Katika kitabu hiki, alimweka Mtume Muhammad katika nafasi ya kwanza, akimuelezea kama mtu mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika historia ya binadamu kutokana na mafanikio yake katika nyanja za kidini na kisiasa.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Magufuli hakuwa rais muadilifu, hilo hata ukae uchi hapa jf huwezi kulibadili. Na Magufuli aliweza kuagiza unyama wa kila namna wafanyiwe wakosoaji, na hakuna uwezo wa vyombo vyetu kuweka ukweli huo wazi. Kama unataka ukweli wa Kabendera ufahamike, lije shirika la kijasusi la nje litaweka wazi hadi mahali alitupwa baada ya kuuwawa.
 
Rejea ya Qur'an:

Allah anasema katika Qur'an:


(Surat Al-Hujurat: 6)



Aya hii inasisitiza kwamba, kabla ya kuchukua hatua yoyote kwa msingi wa habari zilizopokelewa, inapaswa kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha ukweli wake.

Hadithi ya Mtume Muhammad (S.A.W):

Mtume Muhammad (S.A.W) alisema:


(Bukhari na Muslim)



Mtume alisisitiza umuhimu wa kuwa na tahadhari na habari ambazo hazijathibitishwa, kwani zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii.

Mfano wa Tukio:

Katika kipindi cha Mtume, taarifa zililetwa kwake kuhusu baadhi ya watu wa kabila fulani waliodaiwa kusaliti ahadi zao. Mtume hakuchukua hatua ya haraka, bali alituma wajumbe wake kuchunguza ukweli wa madai hayo. Uchunguzi huo ulizuia maamuzi ya haraka ambayo yangeweza kusababisha madhara kwa watu wasio na hatia.

Funzo kwa Jamii:

1. Kujiepusha na haraka: Hakuna maamuzi yanayopaswa kufanywa bila uchunguzi wa kina.


2. Kusikiliza pande zote: Usikivu wa haki unahakikisha kila mtu anapewa nafasi ya kueleza upande wake.


3. Kudumisha amani: Uchunguzi wa habari huondoa fitina na uvumi ambao unaweza kusababisha mtafaruku katika jamii.
Mtume alikuwa kiongozi wa nchi gani?
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
If u keep silence , people have less question and many answers. Zingefanyika investigation za kina na kutoa majibu ya mauaji yote haya yasingekuwepo ,it like killers after assassination they dissapear in thin air.
 
Hii pia ilisemwa, na mimi nikaisikia kwamba jamaa alimpiga risasi kwa mkono wake, ni Kabendera tu ndio kaamua kuiweka katika kumbukumbu.
Kwahiyo ikisemwa kwamba wewe ni jamii ya LGBTQI nami nikaiweka kwenye kumbukumbu ya maandishi inakuwa kweli!?
 
Magufuli hakuwa rais muadilifu, hilo hata ukae uchi hapa jf huwezi kulibadili. Na Magufuli aliweza kuagiza unyama wa kila namna wafanyiwe wakosoaji, na hakuna uwezo wa vyombo vyetu kuweka ukweli huo wazi. Kama unataka ukweli wa Kabendera ufahamike, lije shirika la kijasusi la nje litaweka wazi hadi mahali alitupwa baada ya kuuwawa.
Eric Kabendera sio mtanzania!
 
Back
Top Bottom