Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Mkuu NN aliyetuhumiwa ni Rais John Magufuli, kwamba tuhuma hizo zimeelekezwa kwa mtu aliyekuwa na madaraka ya uRais na sio John Magufuli aliyekuwa mtu tu asiye na cheo cha kitaifa kwamba familia yake imburuze bwana Kabendera kwa mizania hiyo...

Nadhani kama kuna kupelekana mahakamani basi ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali ndio wataohangaika na bwana Kabendera...
 
Nyani Ngabu nahisi kabendera atakuwa anatafuta ukimbizi. Maana alichokiandika ni hatari sana kwake na famili yake. Kitamgharimu sana kizazi chake. Ndiyo yeye kajifurahisha anadhani atauza sana hicho kitabu lakini believe me ahakikishe watoto wake au ndugu zake wasitumie ubin aina moja, ni hatari sana. Dkt Magufuli is an icon, anapendwa sana na watanzania.
Wewe ni mjinga Magufuli alikuwa hapendwi alikuwa maarufu kwa sababu ya uovu wake. Mimi mpaka leo nikisikia jina lake huwa naogopa nikihisi ni mtawala bado alinijeruhi sana kwenye biashara zangu baadhi ya ndugu zangu wapo mahabusu yapata miaka 7 sasa sababu ya serikali ya dikteta magufuli wa chato
 
Kulikuwa na Machifu na watemi na hata huko Asia na Ulaya kulikuwa na wafalme, masultan n.k Muhammad alikuwa na chei kipi mpaka aunde tume ya kuchunguza mauaji? Nijibu basi acha kukimbia kimbia
Mkuu mbona ni rahisi sana kuelewa kuwa Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake alikuwa ni kiongozi mkubwa tu wa dola. Alipohamia Madina mwaka 622 AD Muhammad alianzisha dola ya kwanza ya Kiislam yeye akiwa kiongozi wa kidini na kisiasa. Kutokana na uongozi wake uliotukuka aliweza kuiteka Makka na kuifanya Arabia yote kuwa sehemu ya dola ya Kiislam iliyokuwa na makao makuu yake pale Madina. Hata dola kuu ya Roma ilitambua uongozi wa Muhammad na mara kwa mabalozi kutoka pande hizi mbili walikuwa wakiwakilisha viongozi hawa.

Baada ya Muhammad kufariki dola hii iliongozwa na Makhalifa waongofu akianza Abubakar bin Quhafa, Omar bin Khattab, Uthman bin Affan na Ali bin Abi Talib. Kwa ufupi ni hivyo. Kuna rejea nyingi kwenye intaneti kama lengo lako ni kufahamu basi utafahamu.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Ama hukumjua Jiwe ama labda umeamua tu kuandika ili kuchokonoa mada, Familia inaujua zaidi ukatili wa Jiwe kuliko hata wewe.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Inasikitisha sana mpaka leo watu wanadhani jiwe alikua malaika. Tukisema leo watajwe watu makatili kuwai kutokea Afrika huwezi ukamuacha huyo kenge. Familia ya jiwe wenyewe wanamfahamu na hawawezi kutoka kukanusha sababu wanajua roho ya jiwe ilikuwaje. Mama jiwe amekula Mangumi na mateke sana ndio maana siku hizi yule mama ananenepa na kupendeza.
 
Ndio maana nimemshangaa sana mleta mada
Mleta mada ni mkongwe hapa JF anaishi abroad, nadhani anaujua uovu wa huyo meko vizuri.
Kabendera alichoandika ndio ukweli na wengi wa watanzania wanajua ukweli huo kuwa Magufuli alimmiminia risasi Ben wa saanane ikulu ya Dar es Salaama.

Na Jinsi Magufuli alivyokuwa mnyama hakuna aliyemtetea kuwa si kweli kuwa alishiriki mauaji ya huyo kijana.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Ukweli utazidi kujulukana tu walikua wanaua watoto watu kama kuku
 
Ukweli utazidi kujulukana tu walikua wanaua watoto watu kama kuku
Mimi mpaka leo nikisikia jina la Magufuli huwa natetemeka-ga nikihisi bado ni mtawala , alikuwa mafia sioni ajabu kabendera kumwandika wazi wazi kuwa alimuua Ben wa Saanane.
Hiyo ndio taabia ya ukweli , ukweli una taabia ya kujitetea wenyewe!

Nani angejua leo uovu wa magufuli ungeandikwa hadharani mpaka kufikia hatua ya kuchapisha kitabu?
 
wewe ndiye unaona si jabo dogo, what if yeye aliona ni sifa?

Kama kwa Magufuli kwako alishafika viwango vya imani unadhani kuna fact yoyote itabadilisha hilo?

Kwanini unasema alilopoka? Ni nani aliwahi kumuomba ushahidi akashindwa kuutoa hata useme anaropoka au ni porojo?

Kwa hiyo ingekuwa ni kweli ndiyo wangesema au kuchukua hatua yoyote?

Upo sahihi.

what if it's true? Sijaona popote ukishauri chochote kama jambo hili litakuwa na ukweli.

Mbona umeng'ang'ania sana kuwa ni 'libel'? What if itt's true?

Upo sahihi.

Yeye mwenyewe alishashauri wakosoaji fulani 'kupotezwa'.

Ni sahihi

Ningekuelewa kama ungejikita zaidi kwenye kushinikiza na kushauri kama hivi kwamba ushahidi utolewe. Kuliko kuumizwana tuhuma na kuishia kusema kwa nini achafuliwe

whatif ni za kweli? Mbona haumalizii?

Kwenye urais wake hakuuendesha na familia yake. Kwenye urais wake alikua na akina Majaliwa, vyombo vya ulinzi na usalama, bunge, mahakama, chawa, Chama chake na wengineo.
Familia haikuwa mdauwa urais wake, hivyo haina uwezo wa kuongea jambo lolote kuhusiana na iraiswake. Hata ukisikiliza mahojiano ya Jenerali Mabeyo kuhusu nyakati zake za mwisho wa uhai wake, aliweza kuita watu mbalimbali hadi Padre wa kumuombea lakini hakuna alipoita familia, alikufa akiwa amezungukwa na watu lakini si wanafamilia.
Ni tofauti na ilivyo sasa ambapo Abdul ndiye anaelekeza nani apewe Dipomatic Passport na nani ateuliwe au apigwe chini.

Uposahihi kujiuliza, but What if ni kweli?

Kukubali Vs Kuamini.
Lijapo swala la Magufuli kwako ni very personal

Nimeshakwambia hilo lipo nje ya uwezo wa familia. Kama Magufuli anatuhumiwa kufanya hayo akiwa kwenye urais, basi wa kuchukua hatua ni serikali siyo familia. Akichafuliwa Magufuli means imechafuliwa Ikulu, vimechafuliwa vyombo vya ulinzi na usalama, chama chake, serikali yote n.k
Halafu kwanini unawafundisha wawe na tabia ya kutojiamini ya kuchora mpaka mchangani? Ukifutika je?

Umetumia muda mwingi sana (99%) kulalamika na kushambulia kama mtu ambaye tayari ameuona ushahidi na haukubaliani nalo.
Unadhani akili yako ipo tayari kupokea ushahidi wowote wa yuhuma yoyote ile dhidi ya Magufuli?
Good.Umemjibu vyema msitari kwa msitari neno kwa neno na jibu kwa jibu.
 
Familia mnataka kuipa jukumu sio lao.
Serikali yenyewe ndio ifungue hayo mashtaka, mauaji "yanayotuhumiwa" yamefanyika katika viunga vya ikulu na mtu/watu "wanaotuhumiwa kuua" ni watu waliopewa dhamana na serikali. Kwa msingi huo "Serikali imeshutumiwa".

Familia haihusiki hapa, ametuhumiwa mtu aliekuwa MKUU WA NCHI, Ni wajibu wa serikali kurinda "emage" ya mtu wao, kwani shutuma za kitendo zilifanyika mtu huyo akiwa na madaraka.
 
Back
Top Bottom