Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Kwamba Magufuli hawezi kua muuaji kama mauaji mengine duniani au nini hasa?

Nyani you are better than this

Tukipiga kura hapa,wanaoamini (the matter of opinion) kwamba jamaa aliua 90% tutaaamini tofauti na nyie upande wake
 
Vigumu lakini sio impossible. Kuondoa dhana zozote kuhusu kupotea kwa Saanane, serikali ituambie yupo wapi. Lakini serikali haijawahi kufanya uchunguzi makini au kutoa tamko rasmi.
Sijui hili wazo limetoka wapi, lakini kisheria marehemu hawezi kuwa DEFAMED kwasababu hana reputation ya kuilinda. Libel and Slander suits zinafanya kazi Inter-vivos (between living persons) tu.

Familia ya Raisi Magufuli wataweza kupata Locus Standi (Legal Ground) ya kumshitaki Bwana Eric Kabendera pale ambapo watathibitisha kwamba hiki kitabu kimechafua heshima waliyo nayo mbele ya jamii au kuwasababishia hasara fulani ya kiuchumi, ila haya mengini ni mapendekezo na hisia kali tu.

IKUMBUKWE: kwenye Libel na Slander Suits, The Burden of Proof inashift na kwenda kwa anayeshitaki. Hivyo familia ya marehemu Raisi Magufuli lazima iwe tayari kuthibitisha mbele ya mahakama kwamba haya yaliyoandikwa na Bwana Eric Kabendera ni uzushi ambao unalenga kuchafua taswira ya familia pamoja na kuwasababishia hasara ya kiuchumi.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Rais ni sawa na jalala sio kila kinachosemwa au kuandikwa kina haki ya kujibiwa mengi yanapotozewa tu.

Mwinyi ilisemekana mke wake Mama Siti alikuwa anauza 'sembe' akishirikiana na RIP Hassan Diria na ikasemekana kuwa lile jengo linalotazamana na mahakama ya kisutu ni la kwake lakini mpaka anaingia kaburini hakuwahi kujibu hizo tuhuma wala mkewe hakuhangaika nazo.

Mkapa alishikiwa bango na gazeti la Mwanahalisi kila wiki ikiandikwa makala kuhusu utajiri aliokuwa nao baada ya kuwa ameshaondoka ikulu mpaka ikasemekana kwamba JK aliamua kwa makusudi kumchafua mtangulizi wake, Mkapa hakuwajibu chochote mpaka anaaga dunia.

Kikwete nae alishambuliwa sana na media zetu lakini akaishia kutabasamu na siku zikapita bila ya kujibishana na yoyote.

Sioni sababu kwa familia ya JPM kuanza kuhangaishana na huyo Kabendera, walishapita waandishi na wahariri wengi kabla yake waliotumia nguvu nyingi katika kuwachafua marais na hekima ya muda ikatumika katika kuyamaliza hayo maneno yaliyoandikwa magazetini.

Tusitake kumsumbua Mama Janet tumwachie afurahie maisha ya uzeeni.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Unamuuaje mtu eneo kama Ikulu? Kabendera ameonyesha tu kiwango chake cha juu cha ujinga na kuandika kwa hisia.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Mimi naona kwa kuwa hili jambo ni kubwa mno.

Ili kuepuka habari za kusingiziana, kubambikiana na kudanganya. Ni vyema vyombo huru viundwe vya kimataifa vikishirikiana na Taifa kupata ukweli wa jambo hili na kuponya maumivu yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuwepo.
 
Rais ni sawa na jalala sio kila kinachosemwa au kuandikwa kina haki ya kujibiwa mengi yanapotozewa tu.

Mwinyi ilisemekana mke wake Mama Siti alikuwa anauza 'sembe' akishirikiana na RIP Hassan Diria na ikasemekana kuwa lile jengo linalotazamana na mahakama ya kisutu ni la kwake lakini mpaka anaingia kaburini hakuwahi kujibu hizo tuhuma wala mkewe hakuhangaika nazo.

Mkapa alishikiwa bango na gazeti la Mwanahalisi kila wiki ikiandikwa makala kuhusu utajiri aliokuwa nao baada ya kuwa ameshaondoka ikulu mpaka ikasemekana kwamba JK aliamua kwa makusudi kumchafua mtangulizi wake, Mkapa hakuwajibu chochote mpaka anaaga dunia.

Kikwete nae alishambuliwa sana na media zetu lakini akaishia kutabasamu na siku zikapita bila ya kujibishana na yoyote.

Sioni sababu kwa familia ya JPM kuanza kuhangaishana na huyo Kabendera, walishapita waandishi na wahariri wengi kabla yake waliotumia nguvu nyingi katika kuwachafua marais na hekima ya muda ikatumika katika kuyamaliza hayo maneno yaliyoandikwa magazetini.

Tusitake kumsumbua Mama Janet tumwachie afurahie maisha ya uzeeni.
Mkuu unajibu hoja nzito kwa maelezo mepsi hivi?
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Wakisema ni kweli utaninyonga!?
 
Kwamba Magufuli hawezi kua muuaji kama mauaji mengine duniani au nini hasa?

Nyani you are better than this

Tukipiga kura hapa,wanaoamini (the matter of opinion) kwamba jamaa aliua 90% tutaaamini tofauti na nyie upande wake
Magufuli kamuua nani?
 
Unamuuaje mtu eneo kama Ikulu? Kabendera ameonyesha tu kiwango chake cha juu cha ujinga na kuandika kwa hisia.
I still can’t wrap my head around it.

It’s too far-fetched.

I need more than just words of an unhinged bush-league journalist with an axe to grind.
 
Dah!

Naona mpaka watu niliowaweka kwenye ignore list tokea 2017 nao wameibuka na kuandika magazeti yao humu 🤣.

The lack of awareness and discernment.

They shall continue to be ignored. Toilet bowl scum shall never be elevated.
 
Magufuli kamuua nani?
Kamuu Ben Saanane

Wewe unakataa una 50% 50% chance kama mimi kua kweli au kutokua kweli

Alieandika kitabu kaweka evidences zake mle,alihoji wahusika wa Magufuli,evidences za recording anazo,wewe unabisha umemuhoji au kufanya research gani kumpita Kabendera?

Its seems wewe na Kabendera ni heri Kabendera kafanya research wewe hujafanya lolote

Tukuamini wewe kwamba hajaua kwa lipi hasa?
 
Kamuu Ben Saanane

Wewe unakataa una 50% 50% chance kama mimi kua kweli au kutokua kweli

Alieandika kitabu kaweka evidences zake mle,alihoji wahusika wa Magufuli,evidences za recording anazo,wewe unabisha umemuhoji au kufanya research gani kumpita Kabendera?

Its seems wewe na Kabendera ni heri Kabendera kafanya research wewe hujafanya lolote

Tukuamini wewe kwamba hajaua kwa lipi hasa?
Wewe kusema Magufuli “Kamuu Ben Saanane” siyo 50-50 chance. That’s 100%.

That’s a declarative statement/ sentence.

A declarative statement/ sentence is one that states a fact.

That is abecedarian level math and English.

If you can’t even get those two right, I don’t think I can get into the weeds and the nuances of a complex matter with you because your baseline argument is wrong.
 
Kumburuza kwa lipi. Ukifanya mabaya ujue kuna consequence. Karma is bitch and it's real
 
Wewe kusema Magufuli “Kamuu Ben Saanane” siyo 50-50 chance. That’s 100%.

That’s a declarative statement/ sentence.

A declarative statement/ sentence is one that states a fact.

That is abecedarian level math and English.

If you can’t even get those two right, I don’t think I can get into the weeds and the nuances of a complex matter with you because your baseline argument is wrong.
Mkuu

Una vituko sana,sasa unadhani mimi ndio wa kubabaika na hizo slayers' slangs unazo bwabwaja hapa?

Magufuli kamuua Saanane,nimetoa kwa uhakika kwamba naamini 100% ni yeye,lakini what is the chance ya mimi kua sahihi?Ni 50:50 chance ninaweza kua sahihi au wrong

Wewe na mimi wote tupo sawa,tuna chance ya 50:50 kua sahihi au wrong no matter how affirmative tumetoa sentensi zetu hapa

Kwa Kabendera na wewe,tunamuamini zaidi yeye maana wewe hujafanya lolote,ni mpiga ramli kama sisi tu humu

Kabendera yeye kafanya utafiti na kahoji wahusika waliokua close na huyo dikteta,wewe au mimi hatujafanya lolote,tukuamini wewe kwa lipi hasa?
 
Mkuu

Una vituko sana,sasa unadhani mimi ndio wa kubabaika na hizo slayers' slangs unazo bwabwaja hapa?

Magufuli kamuua Saanane,nimetoa kwa uhakika kwamba naamini 100% ni yeye,lakini what is the chance ya mimi kua sahihi?Ni 50:50 chance ninaweza kua sahihi au wrong

Wewe na mimi wote tupo sawa,tuna chance ya 50:50 kua sahihi au wrong no matter how affirmative tumetoa sentensi zetu hapa

Kwa Kabendera na wewe,tunamuamini zaidi yeye maana wewe hujafanya lolote,ni mpiga ramli kama sisi tu humu

Kabendera yeye kafanya utafiti na kahoji wahusika waliokua close na huyo dikteta,wewe au mimi hatujafanya lolote,tukuamini wewe kwa lipi hasa?
Anatetea wauaji ni kijana mdogo Nini?Hakuimba nyimbo za Idiamini wa Uganda na visa vyake!
 
Katika watu hao mimi niko msitari wa mbele kabisa. Kwa bahati mbaya sidhani kama yuko mwenye ujasiri wa kufanya hivyo!

Eti kumshtaki Kabendera, thubutu! Nasubiri kwa hamu kubwa kuona Serikali itakavyovuliwa nguo mbele ya ulimwengu!

Barua za Ben Saanane kwa polisi na vyombo vya dola si zipo? Na je vipi kuhusu tukio la Lissu mwaka moja baadaye? Serikali ile ile na viongozi wale wale!

Umeskiliza Kabendera kule You Tube katika Gumzo la Ghassani!
Kabendera amesema kile tulichomwambia Nyani Ngabu

1. Pubulisher zaidi ya 40 waliogopa kukichapa
2. Jopo la Wanasheria lilipitia maandiko kwa kina na utuo
3. Jopo la Waandishi wa Kimatifa lilipitia Kitabu kwa weledi
4. Habari za Ben zilikuwa page 15, publisher akasema ziwe 3 kwasababu wanaweza kuzitetea Mahakamani
5. Kwamba kuna habari hazikuelezwa kwasababu zinge reveal sources na kuziweka hatarini
6. Kwamba alianza kuandika akiwa magereza pamoja na ''maafisa'' waliokuwa kifungoni

Nasubiri waende Mahakamani! kama anavyoshauri NN
 
Umeskiliza Kabendera kule You Tube katika Gumzo la Ghassani!
Kabendera amesema kile tulichomwambia Nyani Ngabu

1. Pubulisher zaidi ya 40 waliogopa kukichapa
2. Jopo la Wanasheria lilipitia maandiko kwa kina na utuo
3. Jopo la Waandishi wa Kimatifa lilipitia Kitabu kwa weledi
4. Habari za Ben zilikuwa page 15, publisher akasema ziwe 3 kwasababu wanaweza kuzitetea Mahakamani
5. Kwamba kuna habari hazikuelezwa kwasababu zinge reveal sources na kuziweka hatarini
6. Kwamba alianza kuandika akiwa magereza pamoja na ''maafisa'' waliokuwa kifungoni

Nasubiri waende Mahakamani! kama anavyoshauri NN
Wakiziachia hizo tuhuma bila kujibu, watakuwa wamezikubali kuwa ni za kweli licha ya kutokuwepo kwa ushahidi.

Naweza nikawa nakosea, ila familia ya Magufuli iko meek sana.

Wapo wapo tu na wala hawajielewi.

Tutaona.
 
Back
Top Bottom