Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Wakiziachia hizo tuhuma bila kujibu, watakuwa wamezikubali kuwa ni za kweli licha ya kutokuwepo kwa ushahidi.

Naweza nikawa nakosea, ila familia ya Magufuli iko meek sana.

Wapo wapo tu na wala hawajielewi.

Tutaona.
Tuitendee haki Familia ya JPM. Sidhani wana chochote cha kujibu au kueleza kwasababu hawakuwa sehemu ya Urais wake. Maamuzi mengi yalifanywa wao wakiwa nyumbani kama Wanafamilia tu.

Kuhusu Familia kuwa meek nakubaliana , sioni mtu anayeweza hata kumweleza Baba yao walivyomfahamu

Kuna Watu wanaweza 'kujibu au kutetea'' yaliyomo katika Kitabu. Hawa ni Pamoja na IGP wa wakati ule, Waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule.
 
Tuitendee haki Familia ya JPM. Sidhani wana chochote cha kujibu au kueleza kwasababu hawakuwa sehemu ya Urais wake. Maamuzi mengi yalifanywa wao wakiwa nyumbani kama Wanafamilia tu.

Kuhusu Familia kuwa meek nakubaliana , sioni mtu anayeweza hata kumweleza Baba yao walivyomfahamu

Kuna Watu wanaweza 'kujibu au kutetea'' yaliyomo katika Kitabu. Hawa ni Pamoja na IGP wa wakati ule, Waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule.
I mean, hata ile tuhuma tu ya Magufuli kutaka kumbaka Samia.

Samia naye yupo lakini naye kimya tu.

Kuna mawili hapo:

1. Ama ni kweli alitaka kubakwa [which I don’t believe] au,

2. Kuna concerted effort ya kumchafua mwendazake na mmoja wa wahusika ni Samia na ndicho kinachoweza kuelezea ukimya wake.

Rape/ attempted rape is a serious allegation that shall not go unanswered.
 
Nasubiri waende Mahakamani! kama anavyoshauri NN
Naamini hata serikali yenyewe haiwezi kuwakubalia kwenda mahakamani, itakuwa inajivua nguo.

Narudia kuwa ushauri wa Nyani Ngabu ni wa kijinga kwani yanayoweza kuzuka huko ni makubwa zaidi.

Taratibu nasoma hiki kitabu na mwandishi anaonekana alifanya homework yake kwa ustadi wa kiwango cha juu.
 
Naamini hata serikali yenyewe haiwezi kuwakubalia kwenda mahakamani, itakuwa inajivua nguo.

Narudia kuwa ushauri wa Nyani Ngabu ni wa kijinga kwani yanayoweza kuzuka huko ni makubwa zaidi.

Taratibu nasoma hiki kitabu na mwandishi anaonekana alifanya homework yake kwa ustadi wa kiwango cha juu.
Nimemsikiliza vizuri ! Achosema Kabendera yapo mengi hayakuandikwa kwasababu yange ''link' na source na hao wangekuwa hatarini.

Eric anasema kuna habari za page 15 kuhusu Ben Saanane lakini baada ya majadiliano ya mwaka mzima ikaonekana ni vema iwe yale ya page 3 kwasababu publisher anaweza kusimama nayo Mahakamani .

Kuna kitu watu hawaja note , Kabendera ametaja specifically mwili ulitupwa '' Mto Rufiji''

Rufiji imetajwa makusudi kabisa kwasababu ni weak point! ya kuanza nayo.
Eric anajua nani aliubeba mwili na nani aliusindikiza hadi Rufiji.
Eric hakutaja siku wala saa au gari iliyobeba huo mwili na akina nani. Hii ni makusudi kabisa, ni ''silaha'' zake akisubiri watu wakurupuke. Kabendera anajua Dereva aliyeendesha anatosha kufungua pandora box
 
Nimemsikiliza vizuri ! Achosema Kabendera yapo mengi hayakuandikwa kwasababu yange ''link' na source na hao wangekuwa hatarini.

Eric anasema kuna habari za page 15 kuhusu Ben Saanane lakini baada ya majadiliano ya mwaka mzima ikaonekana ni vema iwe yale ya page 3 kwasababu publisher anaweza kusimama nayo Mahakamani .

Kuna kitu watu hawaja note , Kabendera ametaja specifically mwili ulitupwa '' Mto Rufiji''

Rufiji imetajwa makusudi kabisa kwasababu ni weak point! ya kuanza nayo.
Eric anajua nani aliubeba mwili na nani aliusindikiza hadi Rufiji.
Eric hakutaja siku wala saa au gari iliyobeba huo mwili na akina nani. Hii ni makusudi kabisa, ni ''silaha'' zake akisubiri watu wakurupuke. Kabendera anajua Dereva aliyeendesha anatosha kufungua pandora box
Nao hao ‘watu’ wasipokurupuka huyo Erick atakaa kimya au atawataja hao watu?
 
Naamini hata serikali yenyewe haiwezi kuwakubalia kwenda mahakamani, itakuwa inajivua nguo.

Narudia kuwa ushauri wa Nyani Ngabu ni wa kijinga kwani yanayoweza kuzuka huko ni makubwa zaidi.

Taratibu nasoma hiki kitabu na mwandishi anaonekana alifanya homework yake kwa ustadi wa kiwango cha juu.
IMG_7183.jpeg
 
Kaka Nyani Ngabu aliyechafuka hapa ni Taifa la Tanzania na Watanzania kwani umesahau raisi ni wa Jamhuri sio wa familia? Ulipaswa ombi lako liende kwa Mamlaka ya Taifa letu.
 
I mean, hata ile tuhuma tu ya Magufuli kutaka kumbaka Samia.

Samia naye yupo lakini naye kimya tu.

Kuna mawili hapo:

1. Ama ni kweli alitaka kubakwa [which I don’t believe] au,

2. Kuna concerted effort ya kumchafua mwendazake na mmoja wa wahusika ni Samia na ndicho kinachoweza kuelezea ukimya wake.

Rape/ attempted rape is a serious allegation that shall not go unanswered.
Hapa kwa ninyi Wainglish mnasema '' Between the rock and a hard place''
Kumbuka Samia ni Rais kwasasa , si Raia wa kawaida kwahiyo majibu yake lazima yawe ''measured''

Rais Mkapa anajua madhara ya kukurupuka. Kesi ya Kitime ilimvua nguo baada ya kukurupuka
Kesi ya Idd Simba na tuhuma za Kampuni zake zilimvua nguo.

Tuhuma za rape ni nzito sana, jiulize kwanini zimeandikwa! kilichoandikwa ni preamble, kwa uhakika akina Kabendera wana mengi katika ''ghala lao''. Kujibu tuhuma hizo kunahitaji umakini sana!
 
Nao hao ‘watu’ wasipokurupuka huyo Erick atakaa kimya au atawataja hao watu?
1. Kutakuwa na ''volume 2'' itakayokuja na details! hivi ndivyo Waandishi waliobobea wanavyofanya.
2. Kunaweza kuwa na makala magazetini zikiwataja na reference ikiwa kitabu cha Eric
3. Pata nakala Amazon, ukisoma kuna mahali habari inakuelekeza '' huyu ni fulani''

Kitabu kimefungua ''pandora box'', kuna watu wanakisoma leo wanatetemeka! Itafika wakati wanatajana wenyewe kwa wenyewe. Kuna waliodhani hayatajulikana ! tayari treni imeshaondoka stesheni!
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Unataka ushahidi gani?,wapeleke uone watu watakavyotiririka kitoa ushahidi,wao wenyewe unafikiri hawajui ninamna gani ndugu yao kawaachia mzigo wa vilio vya watu, yes he shot Ben with his Heckler pistol.the victims have a lot to say and they will
 
I mean, hata ile tuhuma tu ya Magufuli kutaka kumbaka Samia.

Samia naye yupo lakini naye kimya tu.

Kuna mawili hapo:

1. Ama ni kweli alitaka kubakwa [which I don’t believe] au,

2. Kuna concerted effort ya kumchafua mwendazake na mmoja wa wahusika ni Samia na ndicho kinachoweza kuelezea ukimya wake.

Rape/ attempted rape is a serious allegation that shall not go unanswered.
Yule dingi alikuwa chizi
 
Hapa kwa ninyi Wainglish mnasema '' Between the rock and a hard place''
Kumbuka Samia ni Rais kwasasa , si Raia wa kawaida kwahiyo majibu yake lazima yawe ''measured''

Rais Mkapa anajua madhara ya kukurupuka. Kesi ya Kitime ilimvua nguo baada ya kukurupuka
Kesi ya Idd Simba na tuhuma za Kampuni zake zilimvua nguo.

Tuhuma za rape ni nzito sana, jiulize kwanini zimeandikwa! kilichoandikwa ni preamble, kwa uhakika akina Kabendera wana mengi katika ''ghala lao''. Kujibu tuhuma hizo kunahitaji umakini sana!
There are only two options here.

Either the rape or attempted rape did happen or it didn’t happen.

Na kama haikutokea, ni rahisi sana kusema haikutokea.

Ukimya wa Samia hausaidii.

Licha ya hivyo, yeye sasa ni Rais . Chochote anachosema kinabeba uzito.

Hivyo labda apewe muda. Atajibu kwa kufuata timetable yake, hopefully.
 
Kipindi haya yanatokea;
1. Saa100 alikuwa Makamu wa Rais - Sasa ni Rais
2. Majaliwa alikuwa waziri Mkuu Hadi Sasa ni Waziri Mkuu
3. Mpango alikuwa waziri wa Fedha- Sasa ni Makamu wa Rais
4. Doto alikuwa waziri wa madini - Sasa na Naibu waziri Mkuu

Sasa wanapiga kimya🤣🤣 mnasema familia ya Magufuli,ihangaike na Kabendera!

Kwani Serikali imekwenda likizo?
Hao niliowataja hapo juu,na waliondoka na JPM?
JPM alimfunga,mkamuonea huruma
Kumuelewesha chizi no kazi mkuu,shida wanafikiri vitabu vya namana hiyo ni kama kile cha Mabara the farmer
 
Nimesikiliza mahojiano kati ya Kabendera na mwanahabari mmoja ambapo Kabendera anadai rasimu ya kitabu chake ilipitiwa na watu ishirini, wengi, kama si wote, wakiwa ni wanasheria. Kwa mujibu wa Kabendera, kilichopishwa ni kile tu wanasheria walikubali kichapishwe kwa kuwa kinaweza kudhibitishwa mahakamani. Tusihumu bali tujipe muda, ukweli utadhihiri
 
Tungekuwa na polisi wanaojielewa wangekuwa wamemkamata na kuanza kumhoji kuthibitisha ushahidi na kama ni uongo abanwe kende zake Hadi zipasuke.Huwezi kuua mtu ikulu mbele ya umati wa watu.Haya madai anaweza kuyaamini kichaa

Tungekuwa na polisi wanaojielewa wangekuwa wamemkamata na kuanza kumhoji kuthibitisha ushahidi na kama ni uongo abanwe kende zake Hadi zipasuke.Huwezi kuua mtu ikulu mbele ya umati wa watu.Haya madai anaweza kuyaamini kichaa tu
Ni watanzania wechache wenye uwezo wa kutumia akili zao na kutafakari ..... Wengi wao fata mkumbo, Kisa kaandika kabendera
 
I’m all for it. Ila Kabendera naye ni lazima atoe ushahidi na awataje waliomwambia.
Atoe ushahidi kwa nani?
Kwa ma judge ambao Rostam alisema wanafanya kazi kwa simu za wakubwa?
Wachunguzi wa kimataifa waje na Kabendera atatoa ushahidi wake huko
 
Rejea ya Qur'an:

Allah anasema katika Qur'an:


(Surat Al-Hujurat: 6)



Aya hii inasisitiza kwamba, kabla ya kuchukua hatua yoyote kwa msingi wa habari zilizopokelewa, inapaswa kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha ukweli wake.

Hadithi ya Mtume Muhammad (S.A.W):

Mtume Muhammad (S.A.W) alisema:


(Bukhari na Muslim)



Mtume alisisitiza umuhimu wa kuwa na tahadhari na habari ambazo hazijathibitishwa, kwani zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii.

Mfano wa Tukio:

Katika kipindi cha Mtume, taarifa zililetwa kwake kuhusu baadhi ya watu wa kabila fulani waliodaiwa kusaliti ahadi zao. Mtume hakuchukua hatua ya haraka, bali alituma wajumbe wake kuchunguza ukweli wa madai hayo. Uchunguzi huo ulizuia maamuzi ya haraka ambayo yangeweza kusababisha madhara kwa watu wasio na hatia.

Funzo kwa Jamii:

1. Kujiepusha na haraka: Hakuna maamuzi yanayopaswa kufanywa bila uchunguzi wa kina.


2. Kusikiliza pande zote: Usikivu wa haki unahakikisha kila mtu anapewa nafasi ya kueleza upande wake.


3. Kudumisha amani: Uchunguzi wa habari huondoa fitina na uvumi ambao unaweza kusababisha mtafaruku katika jamii.
Codes zilishatolewa siku nyingi na wakulia walishalia na wa kulaani walisha laani.
 
Tungekuwa na polisi wanaojielewa wangekuwa wamemkamata na kuanza kumhoji kuthibitisha ushahidi na kama ni uongo abanwe kende zake Hadi zipasuke.Huwezi kuua mtu ikulu mbele ya umati wa watu.Haya madai anaweza kuyaamini kichaa tu
Kama siyo kweli.
1. Kwanini kwenye uongozi wake watu walikuwa wanatekwa kama kweli Magufuli alikuwa kiongozi mzuri?
2. Unaweza kutuambia, kama Ben hajauliwa na Magufuli. Ben yupo wapi?
Kwenye uongozi wa Magufuli, Lissu alipigwa risasi kwa jaribio la kuuwawa. Mpk leo umesikia kuna kesi?
Juzi hapa kijana kachoma picha ya raisi, katekwa mpk leo haonekani. Stendi ya magufuli, mtu katekwa kweupe. Polisi au raisi amezungumzia?
Kitendo cha kumchukua mtu umbinye makende yake aeleze ukweli, tafsiri yake unataka upindue ukweli uwe uongo. Kwanini usimpeleke mahakamani ahojiwe hapo? Hata km wewe unaulizwa huku umebinywa makede yako utasema ukweli? Kitendo cha kumbinya mtu makede inaonesha namna uongozi ulivyokuwa wa kishetani.
Magufuli waziwazi alitamka Zanzibar kuwa angekuwa yeye asingempa stahiki za matibabu mgombea wa upinzani.
Rejea chaguzi za CCM ndiyo utajua hii serikali ni ovu kiasi gani. Magufuli alikuwa kiongozi mbaya, hilo alipingiki.
Roma alitekwa kipindi gani?
 
Back
Top Bottom