Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Acha ujinga wewe wa kutetea matapeli hapa kama mtu alienda bila Imani si mwamposa amfanye huyo mtu awe na Imani acheni wizi
 
Duh!! Pole Sana mkuu.

kama ulivyosema anzia hosptali na Endelea kumuomba Mungu .


Leo siko vzuri Ila kuna kitu kidogo Sana nitajaribu kukutumia .

Mambo ya Waganga usithubutu kwenda huko sio tu utatapeliwa Ila unaweza kuharibu kila kitu.

Nenda Hosptali na Mungu wako inatosha nothing impossible.

Nakuombea uinuke tena .
 
Nashukuru Sana na barikiwa na Mimi nimechagua njia hiyo.

Mambo yakikaa sawa nitaanzia Milembe Hosptal Kwa wataalamu Ila pia sitoacha kuiombea familia yangu.

Naimani Mungu atatenda.
 
Pole sana mkuu kwa changamoto iliyojitokeza kwako na kwa familia yako.
Mimi niko Dodoma kimakazi, ni mwenyeji kiasi, nina imani ukiwapeleka Milembe watapata huduma na kurejea katika hali yao ya awali.
Kwenye changamoto zaidi, tuwasiliane Pm
 
Pole sana mkuu kwa changamoto iliyojitokeza kwako na kwa familia yako.
Mimi niko Dodoma kimakazi, ni mwenyeji kiasi, nina imani ukiwapeleka Milembe watapata huduma na kurejea katika hali yao ya awali.
Kwenye changamoto zaidi, tuwasiliane Pm
Asante Sana .
 
Unataka kumuingiza mwenzio chaka akapoteze muda wake bure
Kuna mmoja Ka comment aende Kwa Mganga wa Kienyeji, sijaona ukisema chochote....!

Mimi ni Mtu ambaye Maombi yameniponya changamoto kubwa, na kama ningewasikiliza Watu kama wewe, mpaka Leo ningekua na changamoto Hiyo.
 
Wakuu sijafanikiwa bado Ila ambaye yupo tayari tuzungumze kuhusu kiwanja namkaribisha

Mawasiliano yangu 0624 117 794

Ningependa nianzie Milembe hospital Kwa Matibabu huku nikiendelea na Maombi kama mlivyonipatia ushauri.
 
OK basi sawa kikubwa asaidike na asiumizwe zaidi hasa kwenye upande wa gharama
Mimi nilikua na changamoto kubwa sana, na nilishawahi kuongea na wewe inbox, Sina haja kueleza hapa mazungumzo yalikuaje...!

Ila Maombi na kuamini... Vimeniweka huru...!

Wapo Wachungaji Wana charge kweli gharama za kumuona ile one to one, ila Mwamposa hana mambo hayo.
 
Uzi huu nimeusoma kwa umakini inaonekana kuna vitu wamekushwa/kutupiwa vituhivyo basi tiba yake haiitajiki ktk hospital isipokua Kaa na wazee chini waulize lazima kutakua Kuna watu wanaowaamini wanaweza kutoa msaada ktk familia yko ukute umetafutwa ww ikaonekana uko vizuri hivyo wakaona watupie katk familia yako na isipokua makini inaweza kua mwendelezo katka uzao wako wote
 
Anacharge mkuu tena hela ndefu.ndugu zang flan walicharge laki ,3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…