Familia za kizungu....

Familia za kizungu....

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Hapo ni George and Dragon ya Masaki, sehemu wanayoingia wazungu watupu na wake zao

IMG_3536.JPG
 
Mbona ni negroids? who are they? Loose the fake hair ladies!
 
Hivi Hiyo Club iko Bongo Boflo mie Raia wa Tanzania siruhusiwi kuingia sehemu kama hiyo ??
 
this is too much now....tungejitahidi kuachana na huyo dada....kuna vitu vingine vya kuzungumza,vingi tuu
 
Hapo ni George and Dragon ya Masaki, sehemu wanayoingia wazungu watupu na wake zao

View attachment 9881
mhhhh..wathugu hawa nani kawa photo?..kama ya maanisha weusi hawa ni wake za wathungu wanaoruhusiwa kuingia hapo, mleta picha hii atakuwa ni miongoni mwa hao wake za wathungu?..
 
Hivi Hiyo Club iko Bongo Boflo mie Raia wa Tanzania siruhusiwi kuingia sehemu kama hiyo ??
si rahisi kuingia hapo kwa mbantu...labda uwe umeolewa na mzungu...... halafu bia ni alfu nane
 
si rahisi kuingia hapo kwa mbantu...labda uwe umeolewa na mzungu...... halafu bia ni alfu nane

sijaelewa bado aaaaaaaaaaaaaaaaaaagh yaani mbongo hawezi kuingia hapo kisa ni gharama au ni marufuku ?????kumbe bado kuna ukabaila ...............
 
Hebu tuwekane sawa ina maana ukifika Mtanzania unaambia huruhusiwi kuingia ni member only au?Tumtume celebrity Kanumba
 
sijaelewa bado aaaaaaaaaaaaaaaaaaagh yaani mbongo hawezi kuingia hapo kisa ni gharama au ni marufuku ?????kumbe bado kuna ukabaila ...............

Hiyo English pub ambayo mswahili hawezi ingia hapo labda awe mke wa mthungu zaidi,mimi na wewe tukienda pale tunarudishiwa mlangoni.
 
Kama wanaingia hao Wazungu au walioolewa na hao...Sasa unataka tufanyaje Boflo!
 
this is too much now....tungejitahidi kuachana na huyo dada....kuna vitu vingine vya kuzungumza,vingi tuu

niwakina nani hao wadada mami, mana natoa tu jicho hapo sielewi lolote?
 
Hiyo English pub ambayo mswahili hawezi ingia hapo labda awe mke wa mthungu zaidi,mimi na wewe tukienda pale tunarudishiwa mlangoni.

kivipi? kwamba mnahicwa hamtaweza gharama za hapo au ni special kwa wake za wazungu tu?...mtoa thread haeleweki, angetupa maelezo bwana.
 
Kumradhi, lakini hata sijui ilipo! Iko wapi tuka-test kufukuzwa? ama ntacheka jinsi nnavyoambiwa siruhusiwi kuingia!
 
Kumradhi, lakini hata sijui ilipo! Iko wapi tuka-test kufukuzwa? ama ntacheka jinsi nnavyoambiwa siruhusiwi kuingia!
Dina, usiombe yakukute....dunia utaiona chungu...na kinachouma zaidi atakayekukataza kuingia ni mswahili mwenzako ambaye ni mfanyakazi wa wazungu
 
Back
Top Bottom