Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 161
kivipi? kwamba mnahicwa hamtaweza gharama za hapo au ni special kwa wake za wazungu tu?...mtoa thread haeleweki, angetupa maelezo bwana.
kwa mfano huko ulaya unaweza kusikia kuna club ya wa swahili tu na wanaoingia humo ni wa swahili tu japo anaweza kuingia na wengine wasio wa swahili. Hawa jamaa nao mtindo wao ni huo huo japo Mswahili hawezi kuingia.
