Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 161
kivipi? kwamba mnahicwa hamtaweza gharama za hapo au ni special kwa wake za wazungu tu?...mtoa thread haeleweki, angetupa maelezo bwana.
Dina, usiombe yakukute....dunia utaiona chungu...na kinachouma zaidi atakayekukataza kuingia ni mswahili mwenzako ambaye ni mfanyakazi wa wazungu
niwakina nani hao wadada mami, mana natoa tu jicho hapo sielewi lolote?
si rahisi kuingia hapo kwa mbantu...labda uwe umeolewa na mzungu...... halafu bia ni alfu nane
tatizo nini?? ngoja na sie tuanzishe club kwa ajili ya wabongo tu..No mzungu, No Mdosi, No mwarabu....Maisha si ndio haya jamani??Kama wanaingia hao Wazungu au walioolewa na hao...Sasa unataka tufanyaje Boflo!
tatizo nini?? ngoja na sie tuanzishe club kwa ajili ya wabongo tu..No mzungu, No Mdosi, No mwarabu....Maisha si ndio haya jamani??
huyo mwenye gauni nyeusi ni mama u-turn naona baadhi ya members wanataka kumfanya maarufu sana hapa JF, na huyo mwenye gauni ya zebra ni Captain nanilii na si mke wa mzungu,yeye kachumbiwa na mbongo mwenzetu.....ni hayo tu my dear
kivipi? kwamba mnahicwa hamtaweza gharama za hapo au ni special kwa wake za wazungu tu?...mtoa thread haeleweki, angetupa maelezo bwana.
kwa hiyo hao kina dada ni wazungu??:gossip:
sijaelewa bado aaaaaaaaaaaaaaaaaaagh yaani mbongo hawezi kuingia hapo kisa ni gharama au ni marufuku ?????kumbe bado kuna ukabaila ...............
Maria wanauza na commoni pia ila ulanzi sina uhakika sana na wanzuki kidogo unakaribishwa kunywa bure..Mhh huu ukumbi unaruhusiwa kuingiza mtu ngapi???