Hapo wanaingia wale wanaume na wanawake wenye kuvizia wazungu kwa sana kabisa...Asi kwambie mtu, Nilishaingia zaidi ya mara 2 , kuingia ni free hakuna kubaguana, Ila humo ndani kuna mambo kwani ni kama show time za James Bond 007, kuwindana kwenda mbele, Si wanaume weusi kuwinda wana wake wa wa
kizungu wala wana wake weusi kuwinda wanaume wa kizungu, Ni aibu tupu, Na hii yote ni njaa itokanayo na uchumi wa nchi. <input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">