Madaktari walisha declare hawezi kuishi tena kama siku 5 zilizopita kwahiyo jukumu la kuzima life supporting machine waliachiwa wanafamilia!but mungu anaweza kutenda miujiza pale maarifa ya binadamu yanapoishia lets cross our fingers...Ina maana anaishi kwa msaada wa mashine ya kupumulia si wamuache tu anaweza kupona jamanii huyu nae ni madawa ndio yamemfanya hivyo jamaniii
Unampa pole anakujua? Au unajifurahisha na kujipendekeza tu!
Oh dear God!Inauma sana kiukweli!
Bobby na Whitney ni African-American,na tumejengwa na misingi mizuri ya mwalimu nyerere katika AHADI 10 ZA MWANA TANU namba moja inasema "Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja".
Kwanini wasimuache kwenye mashine mpaka siku yake itakapofika? Si USA wana Insurance?
Kwa hiyo unaamini Bobby ni ndugu yako??.. dah ngoja nizime laptop sasa maana hapa ntaendelea kushuhudia maajabu tuu kutoka kwako