Huku kwetu wauza unga wanasifiwa , mara ohoo matajiri , sijui vocation , ohoo wanavaa dizaina , Wamama wauza unga wanaingilia hadi Mapenzi ya wadogo zetu wa kiume hatuoni tunaona pesa tu kutwa kusifia ujinga ujinga tu , Watanzania tulilogwa na nani ??? Mnatumalizia Watoto wetu jamani :shetani::shetani: