Family Marriages VS Love Marriages: Which is which?!

Mi mbona imebobea katika upungaji wa maruhani, ya kuzaliwa nayo na ambayo ni acquired, ya jumla na reja reja, njoo niyapandishe na kuyashusha, bei ni nafuu sanaπŸ˜€

Angalia PM yako...
nitumie kopi ya hiyo pi-emu ya wikiendiπŸ˜€
 
Mabinamu makambako ndio sirariπŸ™‚hangover za mchana
naombeni picha tafadhari
 
Da! binamu, talking of kibluray, leo umeamua aisee! yani umenikumbusha enzi zile za kuandika essay za history au literature, compare and contrast! ningekuwa mwalimu hapa ningekupa excellent!
 
Da! binamu, talking of kibluray, leo umeamua aisee! yani umenikumbusha enzi zile za kuandika essay za history au literature, compare and contrast! ningekuwa mwalimu hapa ningekupa excellent!


senks Carmel, kanchokoza geoff hapa, halafu tena anataka summary ya summary sasa sijui nimsaidieje...
 

Mimi naona LOVE MARRIAGES, ni nzuri kama hawa wawili watajuana tabia mapema ili kujua jinsi ya kuzikubali weakness za mwenzake. Mimi naona kinachotokea ni kila mtu kuact kuwa ni perfect, wanapofika katika ndoa true tabia zinajitokeza na wanashindwa kuzikabili. Kama kuna ndugu yangu ni mlevi ile mbaya lakini anamficha girlfriend wake,kwa sababu hapendi mtu anayekunywa sana,wanaoana May, sasa wakishaingia ndani ya nyumba jamaa lazima atashindwa kuficha, je wifi yangu akishindwa kumvumilia si ndoa inaishaa. Family Marriages wazee walikuwa wanazijua tabia za binti na ukoo mzima, ndio maana zilikuwa zinadumu although wanawake walikuwa ma victim sana kwa kuozwa hata kwa kibabu mweeee sizitaki kuzisikia hizo ndoa mimi.
 
Da! binamu, talking of kibluray, leo umeamua aisee! yani umenikumbusha enzi zile za kuandika essay za history au literature, compare and contrast! ningekuwa mwalimu hapa ningekupa excellent!

Si wengine tumezoea makalkuleshani kiblurey mpaka kwenye mitihani ya Entrepeneurship
 
hehehe!sasa kuzisikia tu unaona ishu?
enewei nimeupenda sana mchango wako.
 

Unamjua Jacob Zuma wewe?? Vipi pale?
 
Si wengine tumezoea makalkuleshani kiblurey mpaka kwenye mitihani ya Entrepeneurship
hata huko kwenye entaprinuaship naona kama huwa mnatamani muweke hayo makalkuleshen
 
Si wengine tumezoea makalkuleshani kiblurey mpaka kwenye mitihani ya Entrepeneurship
si ndo hapo!
kaiza amemwaga ungwine utadhani tunajibu swali la DI-ESI mwaka wa kwanza huko.kuna maswali yanasema DISCUSS,SUBSTANTIATE.

mimi esai za di-esi nilikuwa naziandika kwa namba na kupigia mistari.(sijui hata hako ka dii nilikapatajeπŸ˜€)
 

safi sana Sashay, ijapokuwa hujapiga hodi rasmi mi nakukaribisha hapa kwen jukwaa letu la MMU. Unatumia kinywaji gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…