Family Marriages VS Love Marriages: Which is which?!

hata huko kwenye entaprinuaship naona kama huwa mnatamani muweke hayo makalkuleshen

Nakwambia we acha tu! Wakikaa vibaya watahini wanakumbana na ma prinsipo ya kina archimedes na mahypothesisi ya kufa mtu!
 

Acha longolongo kagonge senks kwenye the useful post banaπŸ˜€πŸ˜€
 
Nakwambia we acha tu! Wakikaa vibaya watahini wanakumbana na ma prinsipo ya kina archimedes na mahypothesisi ya kufa mtu!
watauliza swali la mfecane war halafu x-pin ataanza kuderaivu kwa kutumia MACLAURIN SERIES
 
There you are!

Kwa ufahamu wangu hadi asilimia 80 ni kweli; naunga mkono hoja!!!
 
There you are!

Kwa ufahamu wangu hadi asilimia 80 ni kweli; naunga mkono hoja!!!
hehehehe!
twende kazi mkuu!utasababisha kaizer aikimbie laptop yake
 

Kumbe nawe ni mtaalamu wa DS? D si kitu cha kuchezea kwenye ile kitu! Disccuss, distinguish, explain, substantiate........

Wengine tunapenda tukutane na maneno kama Prove that...., show that......, calculate....... LOL! Hapo mzuka unapanda kiaina!
 
watauliza swali la mfecane war halafu x-pin ataanza kuderaivu kwa kutumia MACLAURIN SERIES

Au unadiferenshieti with respekti to..... as something approaches........Hamna maneno miiingi!
 
Kumbe nawe ni mtaalamu wa DS? D si kitu cha kuchezea kwenye ile kitu! Disccuss, distinguish, explain, substantiate........

Wengine tunapenda tukutane na maneno kama Prove that...., show that......, calculate....... LOL! Hapo mzuka unapanda kiaina!

hehehehe!mimi sio mtaalamu!mtaalamu huyu hapa:.....
.....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrh!nasikia usingizi.MAIMUNA NAOMBA KAHAWA TAFADHALI!NIPO NA GAZETI LA MZALENDO
 
hehehehe!mimi sio mtaalamu!mtaalamu huyu hapa:.....

.....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrh!nasikia usingizi.MAIMUNA NAOMBA KAHAWA TAFADHALI!NIPO NA GAZETI LA MZALENDO

haupo peke yako. WatZ wengi tuna ugonjwa wa kutopenda kusoma,,sembuse kuelewa...so upo kweny norma distribution mpwaπŸ˜€πŸ˜€
 
haupo peke yako. WatZ wengi tuna ugonjwa wa kutopenda kusoma,,sembuse kuelewa...so upo kweny norma distribution mpwaπŸ˜€πŸ˜€
Hehehehe!mimi nimeona hizo CAPS TU!love,respect na trust!
halafu mwenzio kingredha hakipandi.hapo ndipo uliponipotezea kabisaaaaa
 

1. Arranged/Famili Marriages - Enzi zile msichana alikuwa akionekana amesimama na mvulana barabarani ilikuwa ni ishara mbaya sana kwa familia yake na alikuwa anachukuliwa kama malaya, unless wakutane kanisani kwenye kwaya, kwenye misiba au wakitoroka kwenda kwenye ngoma na miziki ya usiku... Kila binti alikuwa anajitahidi kujitunza ili apate mume bora na kumbuka kwamba wanaume walikuwa wanarudi kutoka mjini kwenda kuoa vijijini. Tatizo lilikuwa ni tabia, huyo unayeoana naye mnakuwa hamjuani tabia, kwa hiyo ilikuwa inakulazimu kuishi naye tu kwa sababu ya heshima ya familia zote mbili na jamii inayowazunguka. Kumbuka kuacha mwanamke au mwanamke kuachika lilikuwa ni jambo la ajabu sana, kama mwanaume aliona mwanamke hafai au hamridhishi basi ataoa mke wa pili lakini hamwachi yule wa kwanza.

2. Love Marriages ni kwamba mnakutana sehemu mnazojua wenyewe, mnapendana... inawezekana mmoja asimpende mwingine lakini akaona ni Potential Husband/Wifey Material akaamua kulifanyia kazi. Kama ni mwanamke atajifunza kupenda au kumkubali huyo bwana ili aweze kuolewa naye, baada ya ndoa anajua mengine yatajiseti huko mbele ya safari lakini kashaondoa mkosi. Kama ni mwanaume ata-pretend kuwa anampenda sana akijua fika kuwa ataweza kum-dominate na kumtengeneza to suite his requirements. Ili hali kila mtu anaingia kwenye ndoa akiwa na malengo yake, lakini mapenzi ni asilimia fulani tu katika hayo malengo. Sasa hapa shida inakuwa kwamba wote wawili walifanya vile for a purpose, lakini hata kama walifanya kwa mapenzi basi mapenzi pia huchuja, kila mmoja anajiona bora kuliko mwenzake, hakuna wa kuchukua initiative kurekebisha hali hiyo, mwisho wa siku.... Mboga moto, Ugali moto...

My Preference: NONEπŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…