Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Four people are reported to have died after they were buried alive in a landslide in Kiharu, Murang’a County following heavy rains.
Speaking to Citizen Digital, Kahuro Deputy County Commissioner David Kandie said the four are members of the same family.
Police have since managed to retrieve the bodies of the victims.
And in Gitugi, several people and livestock are feared dead after yet another landslide.
The Kenya Red Cross confirmed the incident on Saturday morning.
“Reports of landslides in Kahatia and Gitugi villages in Muranga. [HASHTAG]#RedCross[/HASHTAG] response team en route to the scene,” the humanitarian agency said on Twitter.
===
Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na maporomoko ya udongo, maeneo ya Kiharu kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo
Polisi wamefanikiwa kuitoa miili ya watu hao katika kifusi hicho cha udogo na kuipeleka kuhifadhiwa
Wakati huo huo, watu kadhaa waishio maeneo ya Gitugi pamoja na mifugo yao wanahofiwa kufariki kutokana na maporomoko mengine ya udongo
Tukio hili imethibitishwa na Chama cha Msalaba Mwekundu cha Kenya, asubuhi ya leo Aprili 28, 2018. Na juhudi za kuwaokoa zinaendelea
Source; The Citizen Ke
Speaking to Citizen Digital, Kahuro Deputy County Commissioner David Kandie said the four are members of the same family.
Police have since managed to retrieve the bodies of the victims.
And in Gitugi, several people and livestock are feared dead after yet another landslide.
The Kenya Red Cross confirmed the incident on Saturday morning.
“Reports of landslides in Kahatia and Gitugi villages in Muranga. [HASHTAG]#RedCross[/HASHTAG] response team en route to the scene,” the humanitarian agency said on Twitter.
===
Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na maporomoko ya udongo, maeneo ya Kiharu kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo
Polisi wamefanikiwa kuitoa miili ya watu hao katika kifusi hicho cha udogo na kuipeleka kuhifadhiwa
Wakati huo huo, watu kadhaa waishio maeneo ya Gitugi pamoja na mifugo yao wanahofiwa kufariki kutokana na maporomoko mengine ya udongo
Tukio hili imethibitishwa na Chama cha Msalaba Mwekundu cha Kenya, asubuhi ya leo Aprili 28, 2018. Na juhudi za kuwaokoa zinaendelea
Source; The Citizen Ke