ki ukweli nimejifunza vitu ambavyo nilikuwa sivijui.kuna dada mmoja siku moja kabla hajafariki,mwenyewe aliniambia kuwa ameathirika,aliumwa na kichwa sana,ambacho dada zozote zole hazikukubali.alikuwa anaumwa na magonjwa mengine,ila siku hiyo,kichwa kilimuuma sana,siku ya 2 yake alifariki