Fani nyepesi kutoboa kwa upande wa IT kwa ngazi ya Masters degree

Fani nyepesi kutoboa kwa upande wa IT kwa ngazi ya Masters degree

Mwadilifu Mdhulumiwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
419
Reaction score
640
Salam wanajamii Forums!

Tunaomba msaada kwa wenye uzoefu je kwa upande wa fani za IT, Ni fani ipi nyepesi kutoboa kwa ngazi ya Masters Degree? Kijana anaomba msaada!.
 
Back
Top Bottom