Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Unataka kusoma data science na hujui hata kutumia Google haha hah Tanzania sijui ni kweli kwamba kwenye watu 4 mzima ni mmooja tu?Naomba address kamili ya hiki chuo maan sikijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusoma data science na hujui hata kutumia Google haha hah Tanzania sijui ni kweli kwamba kwenye watu 4 mzima ni mmooja tu?Naomba address kamili ya hiki chuo maan sikijui
Sawa.Akili mgando ni changamoto sana kwa taifa 🤣🤣🤣
Angalia vyuo vya nje pia.Nkapata uhakika wa 100% mwez may ntakuchek uniunge nae
Sipo SUA mkuuu 💩Sawa.
Wanasuaso bana.
Uzuri ukweli upo pale.
Kaomba kujua kajibiwa so shida nini? Kama ni kilaza atajua mwenyewe hapa ni great thinkers kila kitu kipo jFUsimdanganye aende kukaririshwa madesa,sua hakuna elimu pale,aulize ITs wa pale wanasomaje ndio afanye uamuzi sahihi.
Yaani mtu aache udsm au udom kwenye hizo IT aende sua jamani,msipoteze watu malengo.
Sawa mkuu.Sipo SUA mkuuu 💩
Mbeya university of science and technology (MUST) hio kozi ipo kwa watu wa degree tu!Habari, wadau napenda kujua kuhisi hii fani mpya ya data Science kwa upande wetu huku Tanzania naweza kuipata chuo gani nijue.
- Chuo kinachotoa fani hiyo
- Level (cheti shahada)
- Ada
- Vigezo vya fani husika