Fani ya Sheria inaonekana haina mashiko tena

Fani ya Sheria inaonekana haina mashiko tena

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Fani ya sheria inaonekana haina deal tena.. Zamani wanasheria walikuwa wanapiga sana hela, but nowadays mambo yamekuwa vice versa, fani ya sheria haiheshimiki tena. Jamaa hawana ishu za kufanya, wamebaki kuwa MADALALI!!! Inasikitisha sana...Graduates wengine wameona sio ishu, wameamua kubadili fani, wanafanya mambo mengine....

SULUHISHO :

Unganeni, nendeni mahakamani mkaichallenge sheria iliyo anzisha zimwi liitwalo " LAW SCHOOL ". Iombeni mahakama itamke kuwa " Kusoma Law school si lazima, iwe lazima kwa wanasheria wanao taka kuwa mawakili tu " Vinginevyo mtaendelea kupata tabu sana...


NINGEKUWA MWANASHERIA NINGEFANYA NINI ?

Ningekuwa mwanasheria nisinge hangaika kusoma law school, ninge enda kujifunza uganga, then nikafungua kilinge cha uganga na kuwa MGANGA WA KESI... Wateja wakija nawapa ushauri wa kisheria ( Legal Advie ) plus masharti mawili matatu ya kumtengeneza kisaikolojia..hiyo inekuwa bora zaidi.
 
Mkuu LIKUD, fani ya Sheria itaendelea kuwa imara na yenye heshima kubwa duniani. Law School imeanzishwa kuboresha na si kufifisha fani ya Sheria hapa nchini. Kazi na fani havitegemeani kamwe. Kipato na fani si watoto wa mama mmoja mkuu. Wanasheria tupo na tupo imara mno.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu LIKUD, fani ya Sheria itaendelea kuwa imara na yenye heshima kubwa duniani. Law School imeanzishwa kuboresha na si kufifisha fani ya Sheria hapa nchini. Kazi na fani havitegemeani kamwe. Kipato na fani si watoto wa mama mmoja mkuu. Wanasheria tupo na tupo imara mno.
Akhsante Wakili Msomi Petro E. Mselewa
 
Last edited by a moderator:
kama umesoma vizuri unauwezo katika fani huwezi kulialia njaa utapata kazi nyingi zitakazo kupa pesa tatizo ni pale unapokuwa kilaza nani akupe kazi yake uharibu
 
Yani kuna watu wengine wanauelewa mdogo sana law school nchi kibao zipo, na fani ya sheria ni dili kubwa sana hata kimataifa ndo sisemi
 
as long as you are not in the legal profession, you will not understand...
 
This profession is sweet both in making and practice though not paying now as it was then.
 
Mkuu LIKUD, fani ya Sheria itaendelea kuwa imara na yenye heshima kubwa duniani. Law School imeanzishwa kuboresha na si kufifisha fani ya Sheria hapa nchini. Kazi na fani havitegemeani kamwe. Kipato na fani si watoto wa mama mmoja mkuu. Wanasheria tupo na tupo imara mno.
huyu mleta mada hajui what it means being a lawyer poor LIKUD
 
Last edited by a moderator:
guys welcome to our noble profession,haters will never succeed
 
Good news....wanasheria wanachangia kwa kiasi kikubwa ufisadi katika nchi hii....both kwenye mikataba na mahakamani. NI fani ya kishenzi.
 
Yani kuna watu wengine wanauelewa mdogo sana law school nchi kibao zipo, na fani ya sheria ni dili kubwa sana hata kimataifa ndo sisemi

Just on papers but sio kiuhalisia
 
Sheria haina dili yani hawana ajira rasmi...serikali ikitoa ajira utaona tunahitaji 30 tu sasa waliomaliza ni wengi balaa na law firm kule wengi wamejishikiza tu...Hao wanaowaambia soma tu na ajira zipo hao jamaa wanauwalakini maana utakuta mtu kapata ajira kimagumashi na alisota kweli lakini leo ndo anashauri watoto wawatu waende sheria lol....Nenda LAW uone mziki wake kwenye soko...Watu ata zile SUTI zao za CHUO wameshasugua kitaa kutafuta job hadi zimechanika.....NENDA LAW UKAFE NJAA
 
Umesema kweli, lakini kuna mahali sijakupata. Law school ina shida gani? Ni kizuizi kwa vipi kwa wanasheria? Nadhani Law school imerahisisha maana zamani walikuwa wanapata uwakili wachache kwa kufeli interview. Sidhani kama law school kuna ku-disco??? I stand to be corrected.
 
Umesema kweli, lakini kuna mahali sijakupata. Law school ina shida gani? Ni kizuizi kwa vipi kwa wanasheria? Nadhani Law school imerahisisha maana zamani walikuwa wanapata uwakili wachache kwa kufeli interview. Sidhani kama law school kuna ku-disco??? I stand to be corrected.

LAW school disco ipo...pale utakapo pata F zaid ya masomo saba.....ila pia izo sup zake...ad kuchomoka ni mbinde...inahitaj mtu asiyekua na mambo mengi
 
Back
Top Bottom