Fani zenye ajira kwa sasa, vijana someeni fani hizi

Umekula kwanza [emoji2][emoji2]
 
Huwa naona article zako tu la hii hakika umenichekesha sana. Pongezi kwako
 
Yan umekaa ukajipinda kuandika mada ndeeeeefu,, kumbe ya hivi!! Si bora ungelala tu upumzishe akili kuliko ulichoandika!!!
Mnh.....
 
ungetaja na vyuo husika vinavyofundisha hizo kozi

sio unaandika porojo tu

Hizo kozi hakuna chuo, hakuna koziweki, hakuna upuuzi wa grupu asenment, hakuna makeup, sapu wala kukeri. Hakuna cha GPA Wala nini.
Kozi hizo ni zamoto na pesa ipo ya maana.
Hupewi cheti wala hakuna leseni
 
Yan umekaa ukajipinda kuandika mada ndeeeeefu,, kumbe ya hivi!! Si bora ungelala tu upumzishe akili kuliko ulichoandika!!!
Mnh.....

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Sema upo kitengo gani, hayo mengine hayatakusaidia.

Kuandika ni Hobby kama ilivyokusoma.

Ni mjinga tuu asiyetambua jambo hili
 
Kuna muda hua unastua na ile sigara kubwa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…