Fanikisha mahusiano ya mbali. . .

Hahaha,huyo Juma ni hatari.
Asante tena Kibunango. . . mifano yote ina mafunzo ndani yake.
 
Hapo kwenye bold ndo kunanifanya niseme "I don't trust anybody and I don't demand to be trusted either."

Hubby akiniletea za kutoniamini nachukua muda wangu ku explain wala sikasiriki kwani I feel same kwake pia. Lazima kuishi kimachale. Kuusemea moyo wa mtu mwingine utaishia kuzimia siku ukikuta ulichosema sicho.


 
Hapo kwenye red,mawasiliano sometimes yanaboa we hujui tu
 
experience zinakaribishwa.

Xperience yangu ndio inanihukumu kuamini tena mahusiano ya mbali....
Ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kukaa mbali na GF wangu kipindi hicho secondary na ndio ilikuwa mara ya kwanza kufanywa mjinga......
Kibaya zaidi marafiki zangu walinicheka sana na hawakuni-support toka mwanzo mimi kuwa na mahusiano ya mbali na huyo binti,
hii naomba nikiri kuwa imeniathiri sana coz nilishindwa kuwa prove wrong watu wangu kuwa "mapenzi ya mbali yanawezekana"....
Ila sihukumu mabinti wote nadhani nina nafasi nyingine for the next experience "labda"...

 

Hehehehe. . .pole jG.
Ila huoni kwamba umri unaweza ukawa ulichangia kwa kiasi kikubwa? Maana hua nasikia (mwenyewe sijaexperience) kwamba sekondari na vyuoni ndio wengi hua wanawasaliti wapenzi wao kwa ulimbukeni. So usikate tamaa, there is still hope for you.Na usisahau kwamba wa kukisaliti hata uwe nae beneti masaa ishirini atakusaliti tu.
 

Ah inawezekana pia....
Basi toka hapo sijawa tena na wa mbali tena...
Suala la kucheat ni pana sana ila kidogo mtu ukiwa nae karibu bwana unaweza kujidanganya kuwa "wako peke yako"
Ila akiwa mbali afu ukiwa mtu wa miwivu kama mimi ah kila saa roho juu juu lol.....
Ila sikomi tu!
Siwezi na sipendi ku-generalize.
 
Hahahaha. . . wako peke yako atakua wako peke yako hata awe miles away. Na wakushea hata akienda kibandani, au ukiingia bafuni tu imekula kwako.

Ila nafurahi kusikia bado una imani japo hujajaribu tena.
 
Lizzy, Thanks for the useful thread! Indeed you have touched my mind from A - Z including the gamma, betta, alpha ect. I have my GF who is in Dar and I am in a foreign country. I got to know the girl while when I was living in dar but we didn't have any kind of serious relationship. Soon when I left to this foreign country, I proposed to her and she agreed and we moved on well with almost everyday communicating and enjoying our love during the first year of which was also her last year of study in one of the Tz varsity.

Soon after she completed her study, things turned around! Its about three - four months now communication is a big problem! she just say " I am trying my best, and you know now am working so its not easy for me to be online everytime". But in reality, even when I expect her to be online like on weekend days, she don't be. She only communicate with me every 2 ~ 3 days sometimes even after a week. I have tried to convince her to improve her communication but not any significant improvement.

Yaani ni pasua kichwa sasa, natamani nisingekuwa kwenye relationship kwani naona kama hayuko tena committed. Ushauri cha kufanya pls.
 
Heey. . . pole kwa kupasuliwa kichwa.Lolzz

Neway swala la mawasiliano kubadilika linaweza kuwa limesababishwa na mengi. Kwanzia kukuchoka, yeye kua na mambo mengi sana, yeye kupoteza interest/hisia na wewe, kuona mtu mwingine anaemvutia zaidi, kupoteza matumaini na mahusiano yenu. . . yani kwa ujumla yapo mengi. Na huwezi kurekebisha tatizo usilolijua hivyo ningekushauri next time ukipata hiyo bahati ya kuongea nae umuulize kama bado hisia zake kwako ni kali? Bado anataka muendelee kuwa pamoja? Kama kuna mtu mwingine anamvutia n.k Ila sasa kabla ya kumuuliza uwe umejiandaa kwa lolote maana anaweza akakwambia kuna mtu amevutiwa nae alikua hajapata tu namna ya kukwambia, hivyo ujiandae kuwa disappointed maana uwezekano huo upo. Alafu nadhani unaweza ukawa unawafahamu baadhi ya marafiki zake, ongea nao.Ask around, ili ujue kama akili yake imehamia kwa mtu mwingine usonge zako mbele badala ya kusubiria kitu kosichopo.

Good luck.
 
Kibunango huyu bwana Juma ni balaa...lol
 

Thanx, ngoja nisubiri hiyo bahati nitakapoipata nitaongea naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…