Fans wa Ali Kiba awapendwi na Ali Kiba

Fans wa Ali Kiba awapendwi na Ali Kiba

Tabia ya kutomfollow mtu hata m1 inaonyesha tabia yake ya kujiona yupo juu,yaani kuvuliwa chupi na mlupo jokeri ndio kuona yupo juu? Aache tabia zakiwaki.
 
Kwa ninavyo jua mafans wengi wa Ali kiba wanampenda kwa jili walikuwa team za ma ex wake diamond aliowatosa
 
ni kweli mkuu..nakumbuka mahojiano yake na millard ayo..aliulizwa anaizungumziaje watu wanaojiita timu kiba kubishana mitandaoni akasema ni kwa sababu hawana kazi za kufanya so wana muda huo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Je huo ndio utafiti??? Mkuu kama tafiti ndio hizo basi kila mtu atakua anafanya tafiti sasa. . au ungekuta twitter kule lowassa ana follower kama milion tano hivi
Followers wa lowassa ni wa kuchonga tu
 
Back
Top Bottom